CAF Champions League

CAF Champions League

Al ahly wanashambulia sana kwa sasa, Goli walilopata limewaamsha sana, Still Dar young wanaweza fanya kitu ndani ya hizi dk kumi,


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Dar young africans....vijana wa jangwani wanatisha. Ni club kongwe na yenye wafuasi wenye akili zao timamu.
 
Rogieeeeeeee kam this way pliizzz!!
 
Last edited by a moderator:
6633286.jpg

huyu anaitwa ndomyana
 
Last edited by a moderator:
Domayo anakosa Goli la wazi, Tungeweza sawazisha hapa, still Goli ni moja kwa bila.......⚽


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wanapata nafasi ya wazi kabisa warabu ila Mungu yupo na sisi
 
Back
Top Bottom