Cacico i wish your mom quick recovery

eee Mwenyezi Mungu ni wakati mwafaka wa kuweza kusema na maisha yetu,tizama magonjwa,vifo na majanga mbalimbali yanavyotuandama sisi wana wako,tunaomba useme na maisha yetu kuanzia humu chichat had majumbani mwetu,tunaamini kuwa ukisema nasi,wagonjwa watapata kupona ktk jina lako,tembea hadi kwa mama yetu(mama cacico )ukapate kumponya na kumpa nguvu tena......
Amina
 
Last edited by a moderator:
AMEN Ruhazwe JR! thanx alot, mzima weye lakini?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…