Cabinet reshuffle: This is a disgustingly bad joke, Mr President

Cabinet reshuffle: This is a disgustingly bad joke, Mr President

Kuna siku mwalimu alishawaonya watz kuhusu kufanya uchaguz wa viongoz kwa sura,kabila,dini,ukanda,rushwa etc.sis tukapuuzia na tukamchagua jk kwa vigezo hapo juu badala ya uwezo wa uongoz na utendaji.
Sasa hamna haja ya kulalamika kwa sifa za jk nchema anamfaa sana.huwez kuvuna mtama kwenye mahidi na hapo msubir professor maji marefu atakuwa PM siku mkimuondoa pinda.
 
washauri wazuri na majembe ya ccccm kwa cdma.... rose migiro sheria kuchakachua serikali tatu, mwigulllllu kungo'oa kucha ''''' kwa pesa kedede na uchaguzi 2015;:llama:Eeee Mungu washindwe katika jina lako tukufu
 
Ndugu zanguni huyu mwigulu mie sijui kama hii wizara nyeti namma hii ataitendea haki. Au ndo tunajipanga kwa ajili ya 2015
 
Hata Migiro naye ni ushikaji tu alafu hivi Malima na Nchemba wana mchango gani katika nchi hii zaidi ya hasara? ...ni bora wangeachwa manaibu wakaongoza wizara hizi kuliko kuongeza mizigo ya hivi tena
 
Hata Jk mwenyewe kaogopa kutangaza mawaziri, mpaka kamtuma Sefue kutangaza
 
mwigulu kawekwa pale kupiga hela za kampeni za ccm..another epa in the making..
 
Kamundu,

..wako wa-Tz wengi tu ambao ni competent wangeweza kuteuliwa kutumikia wizara ya fedha.

..nadhani JK mwenyewe haamini kama wizara ya fedha ni muhimu kiasi hicho kulazimisha kuteua watu wenye solid track record kutumikia pale.

NB:

..halafu kitendo cha waandishi wa habari kucheka na kuguna kuhusu baadhi ya teuzi za Raisi, kinaleta taswira isiyo nzuri kwa mteuliwa, washauri wa Raisi, pamoja na Raisi mwenyewe.

cc Mchambuzi, Mdondoaji, NasDaz

Watu mlio wengi humu mnaongea utumbo mtupu hivi mwigulu mnaweza kumfananisha na mavilaza wenu kama wakina Sugu , Lema, Mbowe nk Mwigulu ni jeshi la mtu mmoja na nikiongozi supavu na mwelevu acheni kuongea utumbo humu ndani wakati elimu zenu hata form 4 hamjafika
 
Ndugu zanguni huyu mwigulu mie sijui kama hii wizara nyeti namma hii ataitendea haki. Au ndo tunajipanga kwa ajili ya 2015


Yote tisa kumi ni Kupuuza Kauli za Mh. Kinana na Mh. Nape, Je wataficha wapi nyuso zao, je watakuwa na ziara nyingine tena mikoani? Wakija huku mikoani watatwambia nini tena? Hivi kweli inaingia akilini kupuuza kauli ya watu muhimu sana kwenye chama chetu tawala? Sasa jamani itakuwaje, sera zote tuzazo ambiwa na CCM kumbe zinaweza zikatupiliwa mbali kama namna suala la mawaziri migizo lilivyotokea. Ama kweli ukistaajabu ya Musa njoo uyaone ya Utawala wa CCM. With all the people in Tanzania, Mwigulu, Jenista, Malima du ama kweli hapa ndo pa kujifunzia kunyoa.

Sasa ndo tumefungua mlango kwa watani wetu CHADEMA kutufunga magoli ya wazi wazi? Sasa bado tunasubiria Kauli ya Mtoto wa Mkulima maana alituahidi kwamba sikukuu zikiisha atatoa kauli yake.
 
Wakuu,

Hivi hakuna marais WAKUKODISHA?pengine tunaweza tukamkodi OBAMA,au CLINTON wakatusogeza kimaendeleo,maana hawa wenzetu naona kama hawana VISION hivi!wanaongoza nchi kwa mazoea tu!

Naona kama wanajali maslahi Yao zaidi ya maslahi ya nchi!

dah naona harusi ya miraji imemfanya achague vi...za
 
575686_171810116354558_542460542_n.jpg


UCHAMBUZI WA HARAKA:


Yaelekea matatizo ya uchumi wetu si miongoni mwa mambo yanayomnyima usingizi Rais Jakaya Kikwete, ndio maana amefanya kituko cha mwaka kumteua Mwigulu Nchemba kuwa Naibu Waziri katika Wizara hiyo nyeti. Ila mzaha huo ni wa kimkakati zaidi. CCM inahitaji fedha kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi mkuu mwaka 2015. Hadi hapo si tatizo, lakini tatizo lipo kwenye kupata fedha hizo kwa njia halali. Ninatafsiri uteuzi wa Mwigulu kwenda Wizara ya fedha kuwa ni sehemu ya mkakati wa kuiwezesha CCM kupata fedha za uchaguzi mkuu ujao. Tutegemea EPA nyingine? Time will tell.

Adam Malima kupelekwa Wizara nyeti ya fedha si jambo la kushangaza, ikizingatiwa yyeye na JK wanatoka mkoa wa Pwani na ukaribu wao. Sijui nini kilichopeleka Juma Nkamia kupewa uwaziri wa Michezo, lakini majibu anayo JK mwenyewe.

BOTTOM LINE: Tatizo sio mawaziri bali Kikwete mwenyewe. Mbunge wa Ubungo aliwahi kuingia matatani alitamka bayana kuwa JK NI DHAIFU lakini ukweli unabaki kuwa ukweli, na alichosema Mnyika ndo ukweli wenyewe. Mawaziri wanaweza kubadilishwa kila wiki, lakini as long as kiongozi wao ni dhaifu, basi tuendelee kutarajia yaleyale yanayopelekea kabineti kubadilishwa mfululizo kama safari za JK nje ya nchi.

Na kwa waliodhani Pinda angeng'oka walikuwa wanaota ndoto za mchana. Pinda ni nyenzo muhimu kwa JK, ni mtu anayebeba lawama za bosi wake. Madudu yakifanywa na JK,lawama zinaelekezwa kwa Pinda.

Tuombe Mungu 2015 ifike mapema, JK amalize majaribio yake ya urais, labda nchi yetu itapata mwelekeo mpya.

MUNGU IBARIKI TANZANIA

http://www.chahali.com/2014/01/baraza-jipya-la-mawaziri-jk-afanya.html

sisi ni watu wa kungoja tu kila siku!,kwanini haikuwa 2010 ikawa 2015?
 
mi nadhani tumkodi hata kagame hapa jirani aiongoze nchi manake kama ni ngalawa naona imeelemewa kabsaaaaa vaso dagama f..ck
 
Watu mlio wengi humu mnaongea utumbo mtupu hivi mwigulu mnaweza kumfananisha na mavilaza wenu kama wakina Sugu , Lema, Mbowe nk Mwigulu ni jeshi la mtu mmoja na nikiongozi supavu na mwelevu acheni kuongea utumbo humu ndani wakati elimu zenu hata form 4 hamjafika
Mkuu hapa watu hawachezi viduku, hapa kinachoangaliwa ni maendeleo ya Taifa letu. Hilo jembe lako Mwigulu records zake ndizo zinazomhukumu.Pamoja na usomi wake bado hao akina Sugu,Lema na Mbowe wanaona mbali kuliko huyo Mwigulu wako.Unasema watu hawajafika form four, je, wewe mwenye phD umesaidia nini Taifa hili??!!Ona mbali, siyo mbele tu!!
 
Nyie acheni unoko na wivu Nchemba ni jembe, siasa tu zinawasumbua. Mtu mwenye MEconomics na sasa anchukua Phd amabaye aliwahi kufanya kazi Central Bank bado mnasema hatoshi. Mareh Mginwa alikuwa na Masters pia lakini, kabla ya hapo Mkuro elimu yake ilikuwa ndogo kuliko Mwigulu, tatizo nilionalo ni kwamba mnamwona kama mwanasiasa zaidi lakini ni mchapa kazi msomi.Kwa Nkamia kutajwa na waandishi kucheka unajua waandishi na Nkamia pamoja na kwamba ni mwenzaao huwa hawamwelewi awambiapo mkiandika nchi kwanza na mambo yenu baadaye; lakini cha mno ni kwamba Tido Mhando imekula kwake, kwani itabidi kwenda kwake kupiga hodi kikazi.
 
Ukitaka ku ula ndani ya CCM, jua kuwasemea ovyo Chadema tena kwa sauti ya kupayuka!!
 
mn habari ccm hata mishahara ya disemba hawajalipana,wameamua kuweka mtu wao kwenye fuko
 
Just imagine the 'guy' decides to put two substandard dudes Mwigulu Nchemba and Adam Malima & out of curiousity he decides to put a lady on top to call the shots. Humour me Mr President...just humour me!!! And we rest all our finances on such hands.
 
Hii nchi inaendeshwa kihuni sana..

Kwa muono wangu JK amechoka kuongoza hii NCH anatamani leo au kesho akabidhi madaraka arudi kwao MSOGA akale chakula flan kinaitwa BAMBIKO na MCHUNGA uliotiwa UFUTA! kiukweli inafika unabaki kujiuliza Mbwe mbwe za 2005 zimeishia wapi? Kiukweli km mwana mtandao akikosa nafasi ya kujaribu uWAZIRI basi kwa lugha za Mtaani mtu huyo wanasemaa anaGUNDU!
 
Kusema ukweli serikali ya Kikwete itabidi itumie mabavu kuiendesha nchi hii maana mawaziri wote walioteuliwa wizara nyeti hakuna anayekubalika, tutegemee ngumi bunge la bajeti na pengine bajeti ya serikali kutopitishwa. Vile vile tutegemee ya Rwanda
 
Back
Top Bottom