Wakujilaumu ni sisi wenyewe kwani hatupo makini na mambo yetu ya msingi, kuwapigia kelele ni sawa na kumfundisha bata kuogelea.
Akiwa jimboni Busega, katibu mkuu wa Chadema Dr. W. Slaa amemshambulia mbunge wa jimbo hilo Dr. Titus Kamani ambaye pia ni waziri mpya wa wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi akimtaja kuwa ni mzigo mwingine katika baraza jipya. Waziri Kamani alifananishwa kama mzigo wa (furushi la)misumari kwani ni miongoni mwa watu walioshindwa kutekeleza vyema majukumu yao.
Chanzo: Tanzania Daima J. Pili 02/02/1014
huyu mzee kachanganyikiwa tangu atangaze kuanza kupika gongo nilijua kile kichwa hakina kitu tena mbona yeye slaa ndiye mzigo namba moja kazi kuzoa zoa wake za watu tu.