WaTanganyika mnatupenda sana ila ALLAH anatupenda zaidi ,tutakieni safari njema katika safari yetu hii ya kuinusuru nchi yetu kipenzi ya Zanzibar ,Hadi sasa asilimia 85 inazungumza juu ya kuinusuru Zanzibar.
Je Raisi Samia atahitaji RADHI za Mwalimu Nyerere au Maalim Juma Duni ?
Baadhi ya kauli zinazosikika Zanzibar zikimzindua Bibi SSH.
Makusanyiko ya mikutano ya Zanzibar ambayo kashikashi zimeanza ni balaa mikutano rasmi haijaanza wananchi wameanza kuitikia wito katika JIHADI hii ya kuinusuru nchi yao.
Je Raisi Samia atahitaji RADHI za Mwalimu Nyerere au Maalim Juma Duni ?
Baadhi ya kauli zinazosikika Zanzibar zikimzindua Bibi SSH.
Makusanyiko ya mikutano ya Zanzibar ambayo kashikashi zimeanza ni balaa mikutano rasmi haijaanza wananchi wameanza kuitikia wito katika JIHADI hii ya kuinusuru nchi yao.