Bye Bye Tanganyika - WaZanzibari wainusuru Nchi Yao

Bye Bye Tanganyika - WaZanzibari wainusuru Nchi Yao

Tuombeeni tu ,unakuta wanarudisha Ufalme Samia anakuwa Malkia kwa kufanikisha jambo lao.
Ila kusema kweli nina uhakika wa asilimia 99 watatoboa tu ,kama hotuba ya jana 29/04/2025 kule Mtambwe ni balaa ,watu wanazungumza kwa uhakika wa kujigomboa huku wakiimba nyimbo za Mapinduzi Matukufu yaliyopinduiwa na TANU 1972.
Na mkishajitenga tu, basi muondoke mapema sana Tanganyika. Vyeo vyote vya kisiasa na kiutawala mnavyo vishikiria kupitia huu muungano wa changu changu, chako changu mtatakiwa kuwaachia Watanganyika wenye nchi yao.
 
Tanganyika imeshaliwa kitambo. Wakati wa kumbuzi za mapinduzi ya Zenji, kunakuwa na sherehe na magwaride makumbwa ya kujipongeza. Wakati wa kumbukizi ya uhuru wa Tanganyika, tunaambiwa tukalime na kuzoa takataka mitaani.
 
Wewe utakuwa ni Mdigo bila shaka. Na ndiyo maana unaelewana na hao majirani zako wavivu na wapenda vya bure.
Hakuna mvivu zaidi ya kuleta umuhimu kwenye maisha ya watu ...Hakuna mtu kaja kukuomba hela so usipende kuleta umuhimu kwenye maisha ya watu .
 
Nyinyi msioshinda madrasa mna kipi cha maana? Baadae uanze kulalamika Waislam wana udini ila kejeli kwa Waislam umeanza mwenyewe.
Sio kejeli nimekaa Zanzibar miaka 5 kwa muda huo tuu nimegundua literacy rate yao haizidi 30% Kwa population yao yote 😂😂😂
 
Hakuna mvivu zaidi ya kuleta umuhimu kwenye maisha ya watu ...Hakuna mtu kaja kukuomba hela so usipende kuleta umuhimu kwenye maisha ya watu .
Mimi ni mlipa kodi! Lakini pia ni raia wa Tanganyika. Kwa hiyo ninachokisema ninamaanisha. Huo umuhimu ni wa kwako. Mimi haunihusu.
 
WaTanganyika mnatupenda sana ila ALLAH anatupenda zaidi ,tutakieni safari njema katika safari yetu hii ya kuinusuru nchi yetu kipenzi ya Zanzibar ,Hadi sasa asilimia 85 inazungumza juu ya kuinusuru Zanzibar.

Je Raisi Samia atahitaji RADHI za Mwalimu Nyerere au Maalim Juma Duni ?
Baadhi ya kauli zinazosikika Zanzibar zikimzindua Bibi SSH
.

Makusanyiko ya mikutano ya Zanzibar ambayo kashikashi zimeanza ni balaa mikutano rasmi haijaanza wananchi wameanza kuitikia wito katika JIHADI hii ya kuinusuru nchi yao.
CCM ndiyo adui wa Tanganyika na Zanzibar huru.
 

Attachments

  • downloadfile.png
    downloadfile.png
    290.1 KB · Views: 11
  • FB_IMG_1702085740919.jpg
    FB_IMG_1702085740919.jpg
    1.6 KB · Views: 11
WaTanganyika mnatupenda sana ila ALLAH anatupenda zaidi ,tutakieni safari njema katika safari yetu hii ya kuinusuru nchi yetu kipenzi ya Zanzibar ,Hadi sasa asilimia 85 inazungumza juu ya kuinusuru Zanzibar.

Je Raisi Samia atahitaji RADHI za Mwalimu Nyerere au Maalim Juma Duni ?
Baadhi ya kauli zinazosikika Zanzibar zikimzindua Bibi SSH
.

Makusanyiko ya mikutano ya Zanzibar ambayo kashikashi zimeanza ni balaa mikutano rasmi haijaanza wananchi wameanza kuitikia wito katika JIHADI hii ya kuinusuru nchi yao.
Muungano umetuletea laana watanganyika
 
Sio kejeli nimekaa Zanzibar miaka 5 kwa muda huo tuu nimegundua literacy rate yao haizidi 30% Kwa population yao yote 😂😂😂
Wewe unawazidi nini? Hiyo literacy rate ya kwenu ina faida gani kubwa kwenu kuwazidi wao?

Halafu wanakuja kukuomba chakula kwako au cha watoto wao? unawavisha wewe? umewapa wewe makazi?
 
Pambaneni halafu mje mchukue Tanga iwe sehemu ya zenji , tutafika mbali sana huku bara tunatengwa ..Tanga kuna eneo kubwa sana mpaka usambara huko.
Hilo halina shaka ikiwa Malawi wanalichukua ZIwa lao ,Zanzibar itashindwaje kudai ukanda wake kuanzia Mombasa huo ,hakuna kitu kizuri kama kuwa na Nchi yako ,tumeona Urusi kila mmoja karudi kwake.

Na WaZanzbari hawataki ugonvi wala vita, wanajua ndege zao magari yao ya kivita yalichukuliwa na kuhamishiwa Tanganyika ,ila siku hizi vitu hivyo vimepitwa na wakati tupo zama za drones aka Panzi au Nzige tuliozaliwa Mlalo tunaita barare.
 
Hilo halina shaka ikiwa Malawi wanalichukua ZIwa lao ,Zanzibar itashindwaje kudai ukanda wake kuanzia Mombasa huo ,hakuna kitu kizuri kama kuwa na Nchi yako ,tumeona Urusi kila mmoja karudi kwake.

Na WaZanzbari hawataki ugonvi wala vita, wanajua ndege zao magari yao ya kivita yalichukuliwa na kuhamishiwa Tanganyika ,ila siku hizi vitu hivyo vimepitwa na wakati tupo zama za drones aka Panzi au Nzige tuliozaliwa Mlalo tunaita barare.
Naomba sana tururudishwe Zenji , maendeleo makubwa yatafanyika Tanga sio hawa wanapeleka Dodoma ...Tanga ikiwa sehemu ya zenji hakika ni utajiri ,kuna eneo kubwa sana la kilomo na ujenzi.
 
Tusichukiane sisi ni ndugu wamoja ,mkishikwa na njaa tutawasaidia ,yaani hafi njaa Mtanganyika, si mnajua Zanzibar kama Ulaya ,Mtanganyika akifika Zanzibar hataki kurudi na akirudi anabadilisha hata mwendo.
 
Back
Top Bottom