BYD Yangwang U9 Extreme yaipiku Bugatti Ciron, kwa sasa ndio gari lenye kasi zaidi duniani "fastest car on the planet" 496km/hr!

BYD Yangwang U9 Extreme yaipiku Bugatti Ciron, kwa sasa ndio gari lenye kasi zaidi duniani "fastest car on the planet" 496km/hr!

Xi Jinping

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2023
Posts
8,101
Reaction score
23,659
Hizi chuma za mwendo wa ngiri huwa zinafanyiwa majaribio katika viwanja maarufu viitwavyo Automative Papenburg (ATP) nchini Ujerumani.

Hapo ndipo mjadala wa chuma ipi yenye kasi zaidi duniani humalizwa. Vyuma hupigishwa lap ya maana kupima km/hr au mph na acceleration ya engine in time.

Katika majaribio ya karibuni yaliyofanyika viwanja vya ATP, Mchina BYD Yangwang U9 Extreme (U9X) ameandika upya vitabu vya rekodi chuma imekwenda 496.22 km/h. Yaani kwa maneno rahisi U9X inakwenda Dar to Iringa kwa saa 1 tu!

Ina accelerate from 0 to 100 km/h (62 mph) ndani ya sekunde 2.36

Mara ya mwisho Mfaransa na chuma yake ya Bugatti Ciron aliweka rekodi ya dunia, mkebe ulichomoka 490km/hr

Baadhi ya unyama wa BYD Yangwang U9X:
  • 3000 hp
  • 80 kWh LFP battery
  • 1,200v platform
  • Up to 500 kW charging speed
  • 4 motors that each deliver 555 kW (around 750 horsepower), for a combined output of over 3,000 hp.
  • Each of its four motors spin at a max of 30,000 RPM and is made of super thin 0.1mm silicon steel, a first in mass production
U9X is the most powerful Supercar ever at 3000 hp.

Kwa sasa gari lenye kasi zadi duniani ni la umeme BYD U9X. Tesla roadster has a high bar to beat now, China are cooking!
 
20250921_053639.jpg
 
Hatari sana basi...
Imagine torque zinazopigwa hapo sio poa. Halafu bado chuma ina stability iwe kwenye kona, acceleration au brake

Mchina alipokuja kuua ni hapo kuiwekea U9X motors 4 na kila moja inadeliver 750hp jumla 3000hp

Akina McLaren, Ferrari, Bugatti, Jeep, Aston Martin, Lamborghini hawajawahi kuwa na vyuma vyenye 3000hp

Hii imeifanya Yangwang U9X kuwa the most powerful car on the planet
 
Kmmmk sio poa

Sasa ni wakati wa developers wa racing games kuintroduce huu unyama

Mimi nilidhani Xiaomi ndio Mchina mkali wa kazi za roadster

Kumbe BYD ni mnoma hivi, hawa jamaa ni game changer kwenye EV
 
Kmmmk sio poa

Sasa ni wakati wa developers wa racing games kuintroduce huu unyama

Mimi nilidhani Xiaomi ndio Mchina mkali wa kazi za roadster

Kumbe BYD ni mnoma hivi, hawa jamaa ni game changer kwenye EV
Xiaomi Su7 Ultra katika majaribio viwanja vya Nürburgring Nordschleife Ujerumani ilifanya poa

Iliweka rekodi ya the fastest four door EV, 350km/hr

Mkubwa ni mkubwa tu BYD yuko mbali sana ukimlinganisha na Xiaomi

Ila Xiaomi kwenye acceleration walitisha from 0-100km/hr ndani ya sekunde 1.98!
 
Aloo hatari sanaa vipi price yake? Au kama kawaida ya wachina you pay cheap but you get more 😂
Hahahaa ngoja tuitafute bei yake, kama kawaida ya Mchina high quality at a reasonable price.

"Serving the people wholeheartedly" is the motto of the Communist Party of China.
 
Naona siku dola magharibi likianguka na China kuchukua nafasi mtafurahi sana.

Kwa bahati mbaya sana kizazi hiki hakitashuhudia hilo.
 
Yaani unakaa kudiscuss habari ya wachina hapo.
Hiyo gari inaweza kuchomoka matairi na yakawai mbele.
Nimelishwa vyura , minyoo nyama zisizoeleweka na hao watu.
Siwaamini kwa lolote
Mkuu hizo mbona ulikula mboga. Mchaina anakupokea kama ulivyokuja.
 
Back
Top Bottom