Mama Ametufikia
JF-Expert Member
- Jul 17, 2024
- 495
- 1,311
Bila kuchukua hatuaLakini ujumbe si umeupata?
Bila kuchukua hatuaLakini ujumbe si umeupata?
katika ulimwengu wa roho kuna kitu kinafanyika. Mioyo ya watu inaumia na kumlilia Mungu juu ya uovu na uonevu, haipitagi bure!!!!!Endeleeni kulalamika na kutumia I'd fake , uone Kama Hizo komenti zitasaidia kitu
Tangu lini maombi ya wanafiki na wazinzi yakawa na nguvu?katika ulimwengu wa roho kuna kitu kinafanyika. Mioyo ya watu inaumia na kumlilia Mungu juu ya uovu na uonevu, haipatagi bure!!!!!
Samia mwachie Lissu bwana tunachoshana aise
Viongozi wote wadini wanamtetea na 73% ya wanaCCM...anavyozidi kuwekwa ndani ndivyo anavyozidi kuungwa mkono.
..mara baada ya kukamatwa Tundu Lissu alikuwa anatetewa na wanachadema peke yake.
..sasa hivi Tundu Lissu anatetewa mpaka na baadhi ya wanaCcm, viongozi wa dini, watu ambao mwanzoni walikuwa hawamuungi mkono.
..sijawahi kuona mhaini akitetewa na wananchi waziwazi kama ilivyo kwa Tundu Lissu.
Weaponisation of state apparatus. It is a matter of time freedom is at the nearest door knocking!!!!
Wewe na ujanja wsko nani amekuchagulia ya kuandika, Tanzania ni ya wote kujipa haki zaidi ya wengine ni ukorofi.Haina shida kwanzq anze kukaa lisu hata 7 yrs to come ajue ule mdomo na vindefu kama kambare achague la kusema
Hakika umechoshwa....😂😂😂😂Samia mwachie Lissu bwana tunachoshana aise
NimekutukanaHaina shida kwanzq anze kukaa lisu hata 7 yrs to come ajue ule mdomo na vindefu kama kambare achague la kusema
Weaponisation of state apparatus. It is a matter of time freedom is at the nearest door knocking!!!!
Shangaa sasa hilo takataka lenu linaburuzwa!..Mama Abduli lazima ahusike.
..Raisi wa Tz ana madaraka makubwa mno hawezi kuendeshwa na yeyote.
Kusema tu 'nimekutukana' bila neno la tusi lenyewe ni ubatili.Nimekutukana
🚮🚮🚮🚮Mwache ashike adanu, mwenyewe kakori kosa hadi leo kawazuia CHADEMA kupiga kura ili eaepuke kulipuliwa siku ya Uchaguzi. Wangesema wako milioni 9 wataingia barabarani kuzuia Uchaguzi unataka nini tena? Lililobaki ni kwa Afande Muliro nadhani kajiandaa badala ya kusubiri hadi aanze fujo unamueeka pembeni. Siku ile CHADEMA walipanga kuandamana hivo hivo skajitokesa Mbowe na Binti yake kina Heche walikuwa Nairobi na Lissu alikuwa kwao Ubelgiji. Akili ya kuambiwa? Na wewe tia yako.
Samia mwachie Lissu bwana tunachoshana aise
Lissu mpaka ale kitanzi! Mbona mnanichosha kwa kuwaambia hili kila mara, allaaaaaaah!!!?Samia mwachie Lissu bwana tunachoshana aise
Lissu hagombei sasa ya nini kumuweka ndani na.bado ni mlemavu wa kupigwa risasi na wasiojulikana, mwachieni kuepuka hasira za Mwenyezi Mungu.Ukweli ni kuwa kuwekwa mahabusu kwa Tundu Lissu kumewawezesha waTanzania wengi kumfahamu vizuri Lissu na kutambua uwezo wake mkubwa kiakili.
Sasa hivi hata Samia mwenyewe anamfahamu vizuri zaidi na kuwa na hofu kubwa juu ya kupambana naye kwenye kura za waTanzania.
Tundu Lissu sasa hivi yupo kwenye ngazi tofauti kabisa katika mwelekeo wa uongozi hapa nchini.
Abdul bwana, hivi ulienda shule hata kidogo?Bila kuchukua hatua