Bwana Mdogo ameshinda kesi Mahakamani ya kutaka kukaa na mtoto wake wa miaka tisa baada ya mzozo na mama mtoto wa karibu miaka kadhaa!!
Bwana Mdogo alipeleka malalamiko yake serikali za mitaa kudai kukaa na mtoto baada ya kuona mama mtoto hamjali wala hampi matunzo mazuri mtoto,lakini huyu dada alikataa katakata kukubaliana na Serikali ya mtaa na hivyo baba mtoto kuruhiswa kwenda ustawi ili wakawekewe mambo sawa!
Hata hivyo kule ustawi mama mtoto akashindwa tena lakini akagoma kumruhusu mtoto aende kwa baba.Ustawi wakampa ruhusa baba aende mahakami.
Jana kesi imeisha baada ya kusikilizwa almost miezi minne,na mahakama imeamuru baba apewe mtoto,lakini mama amekataa kutoa mtoto kwa kigezo cha kusema anakataa rufaaa!
Je rufaa ambayo mtu anafikiria kukata inaweza zuia adhabu isitekelezwe?
Tunaomba michango yenu kwa hili.
Bwana Mdogo alipeleka malalamiko yake serikali za mitaa kudai kukaa na mtoto baada ya kuona mama mtoto hamjali wala hampi matunzo mazuri mtoto,lakini huyu dada alikataa katakata kukubaliana na Serikali ya mtaa na hivyo baba mtoto kuruhiswa kwenda ustawi ili wakawekewe mambo sawa!
Hata hivyo kule ustawi mama mtoto akashindwa tena lakini akagoma kumruhusu mtoto aende kwa baba.Ustawi wakampa ruhusa baba aende mahakami.
Jana kesi imeisha baada ya kusikilizwa almost miezi minne,na mahakama imeamuru baba apewe mtoto,lakini mama amekataa kutoa mtoto kwa kigezo cha kusema anakataa rufaaa!
Je rufaa ambayo mtu anafikiria kukata inaweza zuia adhabu isitekelezwe?
Tunaomba michango yenu kwa hili.