leiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 649
- 1,547
Mugambo wanaruka na kukanyagana!!!!!! Tatizo ni la kutokuaminiani likianza ndani ya nyumba, ni vigumu sana nyumba hiyo kudumu. Nikuweke tu wazi ndugu yangu mtoa mada, Bwana Heri hakuwa kipenzi cha mwenye mji ila ilimpasa kuneutralize mambo ndio maana akamchukua wapige wote kazi. Kama inavyokuwa ktk nyakati za kukabidhiana vijiti pale Central, Kila mtu huja na pendekezo lake la mfukoni, ndivyo ilivyokuwa kwa bwana Heri. Wenyeji wa kijiji walisisitizi mwenye mji aende na bwana heri japo hakuwa amemjua vyema hapo nyuma. Mwenye mji mstaafu alimkabidhisha heri kwa huyu wa sasa akisisitiza kuwa ni chuma cha mjerumani. Kutokana na uzoefu na unyeti wa nafasi ilibidi kuheshimu hekima za wazee.