Mtoto anabemendwa hapa
Ndoa gani hiyo ya harusi The Boss?hawa sex...huyo mama ana watoto na ana mume
but anadai kaoteshwa afunge ndoa na huyo mtoto
so ni ndoa tu ya harusi but no sex...
Atapewa mzigo, na yule mme wa huyo mama?nahisi wata sex akisha balehe ingawa wanasema no sex...
hawawezi sema yote...kwa ufupi huyu dogo atapewa mzigo anasubiriwa akue tu
Cheki mikono ya huyo mama ilivyokomaa! Haiendani kabisa na mikono yenye ngozi laini ya huyo dogo! Imeniuma kweli kwani naona huyo dogo anadhurumiwa kabisa ujana wake na hilo jimama!
Hadi wanatumia bible! Sijui ni mchungaji? Aiseee, wonders shall never end!Hapa the kiss ....bwana harusi akipata busu la bibi harusi..lol
![]()
Hata mimi imeniuma saana..! Nikiangalia ile picha ya huyo mama akimbusu huyo mtoto yaani nahuzunika saaana..!Cheki mikono ya huyo mama ilivyokomaa! Haiendani kabisa na mikono yenye ngozi laini ya huyo dogo! Imeniuma kweli kwani naona huyo dogo anadhurumiwa kabisa ujana wake na hilo jimama!
hawa sex...huyo mama ana watoto na ana mume
but anadai kaoteshwa afunge ndoa na huyo mtoto
so ni ndoa tu ya harusi but no sex...
Sijui mme alikuwa wapi wakati wanafunga hiyo ndoa na huyo mtoto lkn tayari ushasema ana watoto na mume!mume alikuwa wapi wakati watu wanafunga ndoa?
Hadi wanatumia bible! Sijui ni mchungaji? Aiseee, wonders shall never end!
Basi bwana, wanajua wao na mila zao! Ila kiukweli ni huyo mtoto anadhurumiwa kabisa! Kwanza ni ubakaji huo!?Hata mimi imeniuma saana..! Nikiangalia ile picha ya huyo mama akimbusu huyo mtoto yaani nahuzunika saaana..!