kioju
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 804
- 271
Huyo ni shetan mzima mzima kaja kwa njia ya ndoto.
Haiwezekan Mke tayar wa jamaa afunge ndoa tena na mtoto wa miaka tisa hata uji wa karanga hautok
Mungu ni wa utaratib sio wa machafuko.
Hapa ndo napata pcha ya maandko ya Yohana alipoonyeshwa yatakayotukuta mbele alisema aliwaona wakubwa kwa wadogo wamesimama ktk kti kile kwamba watakuepo wadogo nao wakichemka moton sa ndo hvo wanaptkana kwa njia hii...
God help
Haiwezekan Mke tayar wa jamaa afunge ndoa tena na mtoto wa miaka tisa hata uji wa karanga hautok
Mungu ni wa utaratib sio wa machafuko.
Hapa ndo napata pcha ya maandko ya Yohana alipoonyeshwa yatakayotukuta mbele alisema aliwaona wakubwa kwa wadogo wamesimama ktk kti kile kwamba watakuepo wadogo nao wakichemka moton sa ndo hvo wanaptkana kwa njia hii...
God help