Angemwambia sababu sasa mambo ya kumuanika mwenzie mbele ya watu ndio ninisasa uachwe tu uanze kujiliza ameniacha bila sababu.
lazima tumwage mchele,kama hapo kakimbia mwenyewe,halafu baharia alivyo muuaji anakwambia mimi sijamfukuza nisilaumiwe
ila kuna viumbe wana roho ngumu sana aisee,yaani anaacha train linakorea speed tu(harusi),kumbe ana ratiba ya kuruka.
hakuna upuuzi huko china unapewa invitation unakuja kula tu.Hiyo harusi watu walitoa michango au china huko hakuna huu upuuzi kama huku?
Sent using Jamii Forums mobile app
Si angemuacha tu kulikuwa na ulazima gani wa kumdhalilisha, kwali alilazimishwa kumuoa? Baba bure huyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona Mume aliamua kuifanya hii video kuwa zawadi ya harusi kwa mke wake.Hii ni zaidi ya kipigo
Mke hatalisahau hili tukioana milele daimaNaona Mume aliamua kuifanya hii video kuwa zawadi ya harusi kwa mke wake.
Umenikumbusha mbali kidogo akati naanza kunywa pombe 😂 😂Dunia Ina mambo lukumba lukumba
Anawezaje kumsahau tena inawezekana akacommit suiced huyu mwanamke.Mke hatalisahau hili tukioana milele daima
anaweza akajiua maana hata familia inaweza mtenga na jamii kiujumla amedhalilika sana.Kwamaana aliekuwa akimchakata ni mume wa dada wa bi harusi?? Mbona bi arusi atapigwa mawe adi kufa na wachina walivyo na sheria zao
Yaan! Au tufanye ilikuwa movieanaweza akajiua maana hata familia inaweza mtenga na jamii kiujumla amedhalilika sana.
Haiwezekani hilo teyari inashakuwa aibu kwake.Yaan! Au tufanye ilikuwa movie
Hizi thread mnazoweka humu zinazidi kuwafanya vijana wakate tamaa ya kuoa,na kwa upande wa wadada ndoa ndio zinazidi kuota mbawa...Habari zenu wana JF? Niende moja kwamoja.
Bwana harusi mmoja nchini China akiwa ukumbini aliamua kuonesha video ambayo inamuonesha mke wake akifanya mapenzi na mume wa dada yake chumbani.
Bwana harusi huyo alikuwa akifuatilia mwenendo wa mpenzi wake kwa muda mrefu, alihisi kuwa anatoka kimapenzi na mume wa dada yake, dada ambaye ni mjamzito kwa sasa. Siku moja aliamua kutega kamera chumbani kwake na ilifanikiwa kuwarecordi wawili hao wakifanya mapenzi kwenye kitanda chake.
Jamaa hakumuonesha mpenzi wake hadi siku ya harusi ambapo wakiwa ukumbini baada ya utambulisho aliiweka kwenye televisheni kubwa ukumbini hapo. Bibi harusi baada ya kuiona alivua shela na kukimbia. Hata hivyo amekanusha kuwa sio yeye kwenye hiyo video.View attachment 1315309
View attachment 1315310