uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,455
- 2,237
Ata wewe unaweza kuja na hizo mada, chamaana ni kuziweka bayana mimi nimemuambia huyu muungwa sababu yeye mada zake zote ni magufuli kafanya hivi na all ni negative inamana hakuna postive?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeye ameleta mtazamo wake wewe unaweza kuja na hizo mada zinazohusu vijana na kujikwamua maana hujakatazwa hio inaitwa mgawanyiko wa kuhabarisha watu
Sent using Jamii Forums mobile app