Gunst
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 3,142
- 6,032
Mkristo
Kuna uzi ulipost kwamba uko bagamoyo kwaajili ya field ya mambo ya kichawi.
Lengo lako ni nini kujifunza/kupractice uchawi?
Kuna faida gani kujifunza mambo ya ulimwengu wa giza?
Mkristo
Kuna uzi ulipost kwamba uko bagamoyo kwaajili ya field ya mambo ya kichawi.
Lengo lako ni nini kujifunza/kupractice uchawi?
Kuna faida gani kujifunza mambo ya ulimwengu wa giza?
naihurumia nchi yangu, rubbish!
Hahhahaaaaa hapana wewe huna kama lilikuwepo lilikuja kwa muda tuu
Hata sasa niko huku na sio kuwa natania, unaweza fanya location search utajua niko eneo gani
Sikuanza leo kujifunza hizi mambo nina zaidi ya miaka 15 sasa, naweza sema ni hobbie tu kama kujifunza fani nyingine yoyote ile
Kwenye ulimwengu wa roho, mapepo na mambo ya giza kuna ' a lot of amazing facts' ambazo ni ngumu kuzipata kwenye elimu ya kawaida
NB: Ukristo wangu ni imani yangu na naiheshimu sana na wala sina contradiction kati ya nijifunzayo na imani yangu
Hata sasa niko huku na sio kuwa natania, unaweza fanya location search utajua niko eneo gani
Sikuanza leo kujifunza hizi mambo nina zaidi ya miaka 15 sasa, naweza sema ni hobbie tu kama kujifunza fani nyingine yoyote ile
Kwenye ulimwengu wa roho, mapepo na mambo ya giza kuna ' a lot of amazing facts' ambazo ni ngumu kuzipata kwenye elimu ya kawaida
NB: Ukristo wangu ni imani yangu na naiheshimu sana na wala sina contradiction kati ya nijifunzayo na imani yangu
piego I wish one day we can have a face to face argument about these things, it may unveil many ambiguous/anonymous staled facts about spirits, souls, witchcraft and the likeMimi nina tatizika sana when u inform ppo kkuwa yoga is about finding the "inner self" "projecting ur soul" etc... of course at the beginning it may sound normal but later is all about "contacting the spirits" . Naona ni kupoteza watu..
Human soul has always desired something higher n more powerful. But God gave us a limit. . U cant cross that you unless you are "assisted". You know what I mean