BVR hatimae ndani ya Dar

BVR hatimae ndani ya Dar

mafuru

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2014
Posts
379
Reaction score
38
Jamani ndo tuko kwenye vituo tulivyopangiwa kwa ajili ya training

Vipi ndugu zetu Wengine na nyie mshafika vituoni
Uonapo taarifa Hii please mjuze na mwingine
Me natoka kata ya BUNJU kinondoni D's.m
Naomba kuwasilisha
 
Jpange kushka mikono ya watu, ikiwezekana chukua glove ya mkono mmoja!
 
Habari ya mjini ni he unacho?? Unacho kisu ndiyo maana yake. Kisu gani? Ni kitambulisho cha kupiga kura.
 
Naomba kujua vituo mm npo sinza vatcan
Vituo ni sehemu zile ambazo huwa zinatumika kupiga kura wakati wa uchaguzi mkuu. Mara nyingi ni majengo ya shule za msingi au sekondari, vyuo vya serikali na ofisi za serikali. Lakini kwa maelezo zaidi waweza enda ofisi ya serikali ya mtaa wako wakakuelekeza zaidi.
 
Back
Top Bottom