Buzi Bukoba wanakula nyama za watu

Jamamaa wamekosa vitoweo kabisa mpaka wale watu? ni ushetani tuu huu, sasa hata watu wao wakifa wanazikwa au wanaliwa pia?
 
...sehemu nyingine yenye sifa kama Buzi ni kijiji cha Kiizi, kabla hujafika Ntoma ukitokea Kyetema...nilisikia habari zake nikiwa mdogo hadi leo nazeeka! Naomba michango yenu nataka kutengeneza documentary ya Buzi-Bugabo na Kiizi
 
hadithi.....hadithi...hapo zamani za kale...palitokea kijiji huko bukoba....kinaitwa buzi....
 
Hivi hakuna mtu wa Buzi atupe ukweli kuhusu haya madai ya kula watu??????????

Mimi sitoki Buzi ila hii habari ilikuwa ni ya zamani sana. Inawezekana kabisa kwamba mpaka leo watu hawa wanaendelea na huo mchezo lakini ukweli ambao haujasemwa ni kwamba hawa jamaa huwa hawakamati wala kuua mtu aliye hai ili kumla. Kilichokuwa kinasemekana kwamba kinafanyika ni hawa jamaa wa Buzi na sehemu nyingine za mkoa wa Kagera waliokuwa na utaalamu kwa kufukua kwa miujiza maiti za watu waliokufa na kuzikwa na kwenda kuzifanya kitoweo au kutumia sehemu za mwili kwa ajili ya shughuli za uchawi. Nafikiri mpaka leo mtu akizikwa Bukoba kaburi lake linalindwa kwa siku saba ili wachawi wasije kuuchukua mwili wa marehemu.

Ninachotaka kusisisitiza hapa ni kwamba si kweli kwamba wanamakamata watu walio hai na kuwaua kwa ajili ya kitoweo. Hizi ni habari za uzushi!!!!!

Tiba
 
nipo bukoba nimekutana na mwanakijiji ananipa stori za buzi.. Nahisi naanza kuamini sasa kuwa lisemwalo lipo
 
Jamani niko mkoani Kagera nikazi, nimetahadharishwa nisiende kijiji cha Buzi, wanakula nyama za watu, nasikia hata wamachinga hawaendi huko kufanya biashara.

Niko bukoba mjini kikazi na kutoka hapa mjini kwenda kijij cha buzi siyo mbali sana.na kuna kijana anapafahamu sana hapo buzi na anasema suala la kula nyama ya mtu katika hicho kijiji nilakawaida sana hasa kwa watu ambao ni wageni na hapa kijijini,anasema kuwa machinga wengi wameliwa sana huko.anasema siyo mahali kwa kwenda hatakidogo hata kama unamwenyeji wako anaweza akakugeuka.
 
Nimesoma Nyakato Secondary, O_Level;
ni karibu na Buzi a.k.a Bugabo; mbona suala la kula binadamu wenyeji wa sehemu hiyo ni la kawaida!
 
bojo aba buzi mulihya? Abanya jf nka babema kubi?mwije bojo namachumu nemiundu mulinde eibala lyanyu mutakugoka omu mbaga ya jf.
 
Back
Top Bottom