LUCAS HOOD
Member
- Oct 11, 2019
- 90
- 86
VP mkuu.. bdo upo
VP mkuu.. bdo upo
Zinafanya kazi. Wapo watu hawana habari na ving'amuzi kabisa.HV Kwan bado Hz decoder bado zpo na zinafanya kazi?
king' amuzi gan kipo vzr Zaid, kinatumia account? nataman vinavyotumia dish ndogo Hz za kawaidaZinafanya kazi. Wapo watu hawana habari na ving'amuzi kabisa.
Kama wana "jerk" basi ndiyo wanapata channel zaidi ya 3,000.
Hapana hakitumii akaunti.king' amuzi gan kipo vzr Zaid, kinatumia account? nataman vinavyotumia dish ndogo Hz za kawaida