Buseresere: Mapigano makali yaibuka kati ya waislamu na wakristu!

Status
Not open for further replies.
Hii imenistua sana, mimi sioni ajabu watu kujichinjia mifugo yao kwani shida nini? Anayetaka kula aliyochinja yeye basi afanye hivyo na asiyetaka naye achinje wake ndio usawa huo sio mtu anamlazimisha amchinjie yeye, MTU UTAKA APENDACHO
 
Ni kweli kuna matukio kama hayo huko busele sele na tayari kuna mchungaji ameuwawa by eatv radio
 
Naomba serikali upige marufuku uchinjaji kwa mda ili kuweka mabo sawa!.

Na mambo ya dini yasiingiliwe na serikali yenyewe itumie sheria tu maana haina dini.
Na hapo ndipo serikali ilipokosea
1. Kuwaweka ndani wale wawili kule Sengerema
2. Majibu ya wasira juu ya ushindwanishi (a.k.a Upatanishi) alioufanya mwanza
3. Kuzuia tamko la maaskofu

Hii kitu isipopelekwa kikatiba, tutaisha kama kuku.. Ni baada ya kauli ya serikali ndiyo yote haya yanatokea. Isikesemwa rasmi, wala isingekuwa shida..
 
Hizi habari kama ni kweli baci nadhani sasa amani ya Tanzania imetoweka rasmi.. Kwamba Tanzania sio tena ni kisiwa cha amani..
 
Hii ni breaking news ya Wapo Radio ya muda huu, inasema kwamba waislamu wamevunja bucha ambayo iliokuw imehifadhiw nyama iliyochinjw na wakristo na kuharibu mali kadhaa ikiwemo pikipik! kisa? ni baada ya wakristo kuchinja wanyama kadhaa!
 
Udini umechekewa sana nchi hii, Wakristo siku zote wamekuwa wavumilivu sana kiasi cha kukubali kuingia katika ibada ya watu wengine katika uchinjaji, vitendo vya kupandikiza udini tunavyoviona vinachekewa vinafanya wakristo nao waamue noma na iwe noma, ukweli ni vipi nilazimishwe kushiriki ibada ya imani ambayo siiamini?
 
Kwa taarifa nilizozipata mida hii, mpaka sasa watu wawili wameshauwawa........

Hapo ndo moto unapowakia, wanaacha kushuhughulikia hili suala vizuri wanapeleka jitu linaenda kuongea mambo ki mwitumwitu matokeo yake ndo haya. Kwa mara ya kwanza ardhi ya Tanzania imeonja damu iliyotokana na vurugu za udini walioupandikiza ccm 2010. Wasidhani wao watabaki salama katika hili. Shame On you JK
 
jamani mbona mnatutisha na hizi updates??? yametokea kweli mkuu au ni keyboard tu imeteleza?
 
Uwezo mdogo wa hawa wanaojiita viongozi wa kuto kuona mbali na kufanya maamuzi wakiwa wamevaa miwani ya vyama vyao na kujiona wanauwezo zaidi ya wananchi. Pia ni poor skills katika conflict ressolutions hasa huyu Wassira na huyu mkuu wa mkoa wa mwanza ndio ana-poor communication skills. Inabidi akasome CL 106.
 
maisha boraaaa.........................
Huu ni mwanzo tu, lakn pia kumbukeni ya kua huu ni mwaka tasa, haugawik kwa 2.
 
Hii imenistus sana, mm sioni ajabu watu kujichinjia mifugo yao kwani shida nn, anayetaka kula aliyochinja yeye basi afanye hivyo na asiyetaka naye achinje wake ndio usawa huo sio mtu anamlazimisha amchinjie yeye, MTU UTAKA APENDACHOI
Kama ambavyo wanatuachia nguruwe wetu, basi watuachie na nyama tuliyochinja wenyewe... Uzuri haijafanywa siri, wameambiwa mapema kuwa bucha hii nyama yake kachinja mkristu, hivyo ni juu yao kuicha nyama hiyo kama ambavyo wanatuachi sisi tuingie makanisani na wao waingie msikitini. Sioni ugumu.. ingekuwa wamelishwa bila kujuwa, labda wangekuwa sahihi.....

WANAWEZAJE KUTUACHIA NGURUWE, NA WASHINDWE KUTUACHIA NYAMA TULIOICHINJA WENYEWE? MBONA SIKU WAKIWA WANAKULA MAHARAGWE HAWASOGEI BUCHANI? TENA TUSISHANGAE KUKUTA WENGINE HAWAKUWA HATA NA MPANGO WA KUNUNUA NYAMA LEO....
 
Furusha hao mujjahedeen,shule ndogo alafu wanataka kuzitawala akili kubwa,piga hao mpaka kanzu ziwe nyekundu kwa damu.
 
Hii ni breaking news ya Wapo Radio ya muda huu, inasema kwamba waislamu wamevunja bucha ambayo iliokuw imehifadhiw nyama iliyochinjw na wakristo na kuharibu mali kadhaa ikiwemo pikipik! kisa? ni baada ya wakristo kuchinja wanyama kadhaa!

Nimeiskia pia mkuu, kuna link ya maandishi hapa Gospel Kitaa.
 
Uwiii wamechinja ng'ombe weee sasa wanachinjana wao..dini hizi.yetu macho
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom