Buseresere: Mapigano makali yaibuka kati ya waislamu na wakristu!

Status
Not open for further replies.
Unaona unavyojitahidi kulinganisha!! Hata shetani kosa lake kuu ni kujilinganisha na Mungu!

Mkuu kwani hamna si wamo nitalinganisha vipi na wamo na vitabu ndo vile vile jamani walosomea public relation hebu wafahamisheni hawa watu
 
Ndiyo maana nakuambia una tafsiri KISHETANI kwa sababu ya huyo unayemwabuda SHETANI!

ungenipa basi tafsiri yako ambayo ni sahihi niitizame na yangu hiyo sio quraan quraan haiwezi ongea kitu kama hicho firkiri mkuu kwanini ikawepo hiyo aya na sio kushilia tuu shetani shetani onesha shetani ni nani anayemuheshimu mungu ambaye hana mtoto wala mwana ama yule anasema mungu ana mtoto
 
Mkuu kwani hamna si wamo nitalinganisha vipi na wamo na vitabu ndo vile vile jamani walosomea public relation hebu wafahamisheni hawa watu
Aisee hadi unatafuta public relation specialists! umeishiwa ninarudia Shetani anapenda kulinganisha na kujilinganisha na mungu. Endelea kumsoma Isa wa Quoran na mambo zake!! ila unapokuja kwenye Bible usilinganishe! Hata Alah siyo Mungu wa Wakristo!!
 



Mkuu Mwampu Malley




NDUGU YANGU UWE NA AMANI:UKIJIBU VEMA NTAKUJIBU PIA.

mkuu ulishaangusha matusi huko juu sasa unajua me nitakuja na hasira nitakujibu kama ulivyojibu ww hamna nafata quraan ambayo inasema
"Waite waelekee kwenye Njia ya Mola wako Mlezi kwa hikima na mawaidha mema, na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora. Hakika Mola wako Mlezi ndiye anaye mjua zaidi aliye ipotea Njia yake, na Yeye ndiye anaye wajua zaidi walio ongoka".Al Quraan (16:125)

Niingie katika point zako uloziweka NIONYESHE AYA KUTOKA KATIKA KITABU CHAKO ILI NIBADILIKE NA SIO KUSIMAMA KWENYE HOLLY BIBLE YANGU. UTAGUNDUA KUWA KITABU CHAKO NI DHAIFU NA KIMERUDIA MENGI YALIYOPO KWENYE BIBLIA..

Mkuu hujataka tuu niambie mimi nitakupa niko tayari kwa muda wowote ule unachotaka kujua basi please you are most welcome,mimi nakuja katika kitabu chako kwasababu nyinyi munasema ni kitabu ambacho kinatoka kwa mungu na nikilitizama hilo tabu nakuta ndani yake mna kumbukumbu ya torah na mimi nikisoma katika quraan yangu naona Allah kataja kitu torah na zaburi na injill ukisoma Quraan "Na tukawafuatishia hao Isa bin Maryamu kuyahakikisha yaliyo kuwa kabla yake katika Taurati, na tukampa Injili iliyomo ndani yake uwongofu, na nuru na inayo sadikisha yaliyo kuwa kabla yake katika Taurati, na uwongofu na mawaidha kwa wachamngu". na NYENGINE

QURAAN 3:3 inasema " Amekuteremshia Kitabu kwa haki, kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake. Na aliteremsha Taurati na Injili" na nikisoma katika mitabu yenu nakutana na aya inasema na tulimpa musa taurati. na nyengine katika quraan usijeleta maneno, sasa najua fika kwamba mimi nina haki ya kuitumia injili na taurati pia tena zaidi ya nyinyi maana yenu mushaiharibu na ndio maana natumia injil kukuwekeni sawa pale mnaposema uwongo.

Lakini ona kitu sasa bible uisome hivyo hivyo isharibiwa basi bado inasema ukweli kwamba mungu mmoja
.


"Na lau kuwa wangeli ishika Taurati na Injili na yote waliyo teremshiwa kutokana na Mola wao Mlezi, basi hapana shaka wangeli kula vya juu yao na vya chini ya miguu yao. Wapo watu miongoni mwao walio sawa, lakini wengi wao wanayo yafanya ni mabaya mno".(Al Quraan)
aya hii inanikumbusha na aya yenu ukisoma yeremia 8:8 inasema "mwasemaje sisi tunaakili na taurati ya bwana tunayo pamoja nasi lakini tazama kalamu yenye uwongo ya waandishi imeifanya taurati yote kua uwongo"
na ni kweli huwezi kuta TAURATI yenyewe ila unakutana na kumbukumbu la taurati swali kwako jee TAURATI YENYEWE IKO WAPI na hii ndio inasababisha tusiamini kwamba hayo ni 100% ni maneno ya mungu.

Paul alifukuzwa kwasababu ya ukweli
Mkuu ukweli gani ma jew walikua wanaabudu mungu mmoja tena miskitini na hata paul alipokua anaanza kuhubiri habari za yesu kua mungu na mtoto wa mungu(ametakasika mwenyezi mungu na hayo na mkamilifu) alihubiri ndani ya miskiti na aya inaonesha wazi kwamba walikua wanasema anaongelea kuhusu mungu wa kigeni ama mungu mpya nimeiweka green juu katika topic ilopita naona uliiacha hukutaka kuigusa na nyengine


Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, Kuanguka kifulili na kusujudu vinafanana? Mkuu huwezi anguka kifulifuli halafu ukaswali unajaribu kuukimbiza ukweli mkuu aya ya english inaonesha wazi and fell on his face, and prayed kama waislamu wanavyofanya ni kuanguka ni kutoka juu yanakuja magoti halafu ndo uso.

Yehoshafati akainama kichwa, kifulifuli; wakaanguka mbele za Bwana Yuda wote na wakaao Yerusalemu, wakimsujudia Bwana. Unataka nini tena hapo yaani unaiweka kwa kiswahili halafu bado huifahamu mbona wanakupoteza vibaya wenzio hebu njoo uwaone waislamu tunavyoswali miskitini kama utaogopa kuingia ndani kaa nje watizame utaona wanainamisha kichwa na kusujudu kumsujudia Allah (ama kwenye bible yenu mnamwita ELOHAM na wa jew pia)

Sicho kiingiacho kinywani kimtiacho mtu unajisi; bali kitokacho kinywani ndicho kimtiacho mtu unajisi.

Mkuu itizame hiyo aya vizuri sii kiingiacho bali kitokacho swali jee matapishi ndo yanafanya kua najisi maana ukishakula hakuna kinachotoka hapo kwenye mdomo tena aya hiyo haioneshi kwamba nyinyi mumeruhusiwa kula nguruwe hata kidogo wala si uthibitisho wa kujikingia kula haramu basi kama ni hivyo aya hizo zina contradict na hizi

Leviticus 11:7-8
"And the swine, though he divided the hoof, and be clovenfooted, yet he cheweth not the cud; he is unclean to you.
"Of their flesh shall ye not eat, and their carcass shall ye not touch; they are unclean to you."

Deuteronomy 14:8
"And the swine, because it divideth the hoof, yet cheweth not the cud, it is unclean unto you: ye shall not eat of their flesh, nor touch their dead carcass najua utakuja sema hiyo walikatazwa mayahudi jee kuna aya ambayo imehalalisha na nyinyi si mnafata Bible yote hamna old wala new

Halafu hata kiafya bado nguruwe ni mdudu hatari sana ana maradhi zaidi ya 100 na moja ambalo la karibu ni wale warm wake hawafi kwa moto wa kawaida ukila wakiingia ndani basi brain yako ina posibilities ya kuharibiwa ukitaka kuhusu topic yake na maradhi yake uliza tuu nitakupa ushahidi wa kisayans na kidini pia.

Anaonekana kuwa mtangaza habari za miungu migeni,

Mkuu huyu mtu hata kama utamtetea vipi bado anakupelekeni pabaya mayahudi walikua wanaabudu mungu mmoja tuu na ndo maana wanamshangaa anaongea nini kuhusu yesu mtoto wa mungu na kua mungu baadae lakini nitakupa challenge hapahapa kuthibitisha kwamba mungu ni mmoja tu ukisoma 33:39 deutonomy inasema sito iandika yote kusave kuwachosha na wengine kazi ya kuuwa ni ya mungu tukisoma bibilia inasema yesu alikufa kwa siku tatuakafufuka swali mungu gani alochukua nafasi ya yesu kuuwa wakati yy mwenyewe ndo kazi yake hiyo. usisahau kunijibu hiyo pia ni kijichallenge cha hapa na pale tu usiogope.


Tunacho kuonyesha ss ni utata wa dini yako ya wauwaji na wapenda vurugu
Mkuu kuna mtu alouwa zaidi ya Hitler na alikua mkatoliki alilelewa huko au uje useme alikua muislamu nyinyi tatizo lenu tukifanya sisi ni wapenda vurugu lakini mkifanya nyinyi munajitetea yaani me sikufahamuni kabisa.

DINI ILA NI IMANI NA UFUASI
Mkuu juzi ulitoa aya hadi leo naikumbuka Yakobo 1:27 Dini iliyo safi, isiyo na taka mbele za Mungu Baba ni hii, Kwenda kuwatazama yatima na wajane katika dhiki yao, na kujilinda na dunia pasipo mawaa. Sasa leo mbona unageuka unasema ataa sisi watu wa imani na ufuasi lakini ukristo sio dini halafu nilikuandikia juzi dini gani hiyo hukutaka kurejesha unajichanganya mkuu yaani kama bibilia yako inavyojichanganya sorry kama nitawaudhi na wengine lakini inabidi niseme kwamba bible yenyewe inajichanganya.

Mithali 26:5 Umjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Asije akawa mwenye hekima machoni pake.
Mkuu naona umetoa aya nyiingi za kuhusu upumbavu lakini tuu nataka nikujulishe hadi mungu wenu nyinyi mnamwita mpumbavu sijui ndo manjonjo tuu hayo yakupenda kuita wapumbavu wengine ama vipi soma hapa utapata mkuu usihangaike wapi mungu kaitwa mpumbavu wakorinto wa kwanza 1:25 "kwasababu Upumbavu wa mungu unahekima kuliko wa binadamu" yaani heshima hamna kweli halafu iwe dini ya mungu hii sidhani. na kisha mkamwita mungu mke wenu duh nyinyi mwisho

Mkuu umenipa hii aya sijui imesoma bibilia ama vipi nitakupa siri lakini iwe yako usimwambie pastor wako akenda kushtaki namchukulia wanafunzi wake na kuwaelimisha ukisoma The New World Translation of the Holy Scriptures used by the Jehovah's Witnesses wamekubali na pamoja na wataalamu wa bible wanakubali kwamba aya kutoka matayo 9 hadi 20 imechakachuliwa na ndo aya ile ya taurati ya bwana tunayo sisi na imefanywa kuwa uwongo inakuja hapa na ukisoma Mark 16:8 The Revised Standard Version wameandika hivi katika footnote yao Some of the most ancient authorities bringthe book to a close at the end of verse 8:" This means also that the resurrection is not true as this is described in Mark 16:9.

Mathayo 28:19-20 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.

Halafu ukiisoma hii aya kwa english New American Standard bible na the new world translation of the holy scripture haijawekwa ALL NATIONS IMEANDIKWA ALL THE NATIONS unaona tofauti hapo yaani THE ndo inabadilisha maana ikiwa na maana Wale 12 TRIBES WAISRAEL peke yao na sio all nations.

"Prove all things;hold fast that which is good" (I Thessalonians 5:21).

Hakika dini ya haki mbele ya mwenyezi mungu ni UISLAMU (Quraan)

Natamani kukujibu mkuu lakini najua huwezi nielewa.Biblia hajatukana mahali ila imetoa mifano kwa makusudi jaribu kuielewa positively utaona uzuri wake lakini ukianza kuisoma kwa mtazamamo wa kutafuta kosa au upungufu au kwa kuichukulia kama story book matokeo yake ndo hayo unayo ropoka hapo juu...siku zote ukweli hupingwa na haupendwi wewe na ndugu zako mmekoo na biblia ili kuiangusha pale ilipo lakini tunazidi kuongezeka na tunazidi kusonga mbele...Lakini kwanini ni mgumu kuelewa kiasi hicho? Nmekuandikia kuwa Dini iliyo safi ni.........Na kukuambia sisi ni wafuasi wa kristo nawaamini katika kila kitu namaniisha kama ni mfuasi wa yesu basi nafuata yale aliyo niagiza ikiwepo upendo na utuwema na kumpenda jirani yangu kama nafsi yangu,, kwa lugha nyepesi kuwaona yatima na wajane ni kitendo cha upendo na ukarimu.Kujilinda na dunua pasipo mawaa si ni zaidi ya torati.?...Kunafaida Gani kushika torati alafu ukawa Muuaji,mfiraji,mzinzi,mtu wa tamaa.mwivi,msengenyaji,Mpenda malumbano,na unasema umeshika torati.?
Maana ya torati ninsheria (Ipo kwaajili ya kuongoja watu waishi katika utaratibu fulani)lakini haimaanishi kila anaye fuata sheria anapenda sheria! Na kumbukumbu la torati sio maana yake Sheria hazipo ila ila kumbukumbu tu.Fahamu kitu ndugu, kila kilicho andikwa ni kumbukumbu hata kitabu chako ni kumbukumbu pia(Penda kufikiri kabla hajasema). uwepo wa sheria zilizo tunzwa kwaajili ya kizazi cha leo...Kwa lugha nyepesi ni jina la kitabu katika biblia lakini sheria zenyewe zipo kwenye Mambo ya walawi(chron) na Kutoka(Exds).Ukiitazama biblia kwa jicho la makosa ni kawaida kuona makosa lakini ukiisoma kawa lengo la kujifunza utajifunza mambo mengi sana,
Biblia ni fumbo (clossed book) unatakiwa uwe na akili unapo isoma kama ukisoma kama unavyo soma wewe ni lazima uitukane na kukashifu...
Swali langu la Mwisho kwako Unataka nini,wakristo wafanye nini? maana najua hatuna mpango wakuwa waaislam
 
Natamani kukujibu mkuu lakini najua huwezi nielewa.Biblia hajatukana mahali ila imetoa mifano kwa makusudi jaribu kuielewa positively utaona uzuri wake lakini ukianza kuisoma kwa mtazamamo wa kutafuta kosa au upungufu au kwa kuichukulia kama story book matokeo yake ndo hayo unayo ropoka hapo juu...siku zote ukweli hupingwa na haupendwi wewe na ndugu zako mmekoo na biblia ili kuiangusha pale ilipo lakini tunazidi kuongezeka na tunazidi kusonga mbele...Lakini kwanini ni mgumu kuelewa kiasi hicho? Nmekuandikia kuwa Dini iliyo safi ni.........Na kukuambia sisi ni wafuasi wa kristo nawaamini katika kila kitu namaniisha kama ni mfuasi wa yesu basi nafuata yale aliyo niagiza ikiwepo upendo na utuwema na kumpenda jirani yangu kama nafsi yangu,, kwa lugha nyepesi kuwaona yatima na wajane ni kitendo cha upendo na ukarimu.Kujilinda na dunua pasipo mawaa si ni zaidi ya torati.?...Kunafaida Gani kushika torati alafu ukawa Muuaji,mfiraji,mzinzi,mtu wa tamaa.mwivi,msengenyaji,Mpenda malumbano,na unasema umeshika torati.?
Maana ya torati ninsheria (Ipo kwaajili ya kuongoja watu waishi katika utaratibu fulani)lakini haimaanishi kila anaye fuata sheria anapenda sheria! Na kumbukumbu la torati sio maana yake Sheria hazipo ila ila kumbukumbu tu.Fahamu kitu ndugu, kila kilicho andikwa ni kumbukumbu hata kitabu chako ni kumbukumbu pia(Penda kufikiri kabla hajasema). uwepo wa sheria zilizo tunzwa kwaajili ya kizazi cha leo...Kwa lugha nyepesi ni jina la kitabu katika biblia lakini sheria zenyewe zipo kwenye Mambo ya walawi(chron) na Kutoka(Exds).Ukiitazama biblia kwa jicho la makosa ni kawaida kuona makosa lakini ukiisoma kawa lengo la kujifunza utajifunza mambo mengi sana,
Biblia ni fumbo (clossed book) unatakiwa uwe na akili unapo isoma kama ukisoma kama unavyo soma wewe ni lazima uitukane na kukashifu...
Swali langu la Mwisho kwako Unataka nini,wakristo wafanye nini? maana najua hatuna mpango wakuwa waaislam

Mkuu mwanzo ulinambia ataa sisi si dini sisi ukristo ni iman sijui kufata nikakupa andiko ambalo ulilitoa mwenyewe ukajichanganya saivi naona unakuja na mpya hujajibu hoja ww kama mkristo unatakiwa unifahamishe mimi nini maandiko yanasema kama nitakua nimekosea mimi nimekupa aya kutoka kwenu unafikiri mimi utowe aya kwenye quraan nitatafsiri na nitakuelewesha hadi ufahamu lakini naona munashindwa kuitetea bibilia yenu mnabaki na mijitusi tuu

Mkuu taurati yenyewe mushaiharibu na ukisoma bibilia inathibitisha hayo kwamba ilichomwa moto yote na munajulikana kwa uvivu hamkuweza kuihifadhi kichwani kama quraan tulivyoihifadhi ukibadilisha aya tu sio aya peke yake herufi tuu tunakukamata na kukwambia mwizi na kitabu changu sio kumbukumbu ukitaka original ya tangu siku hizo ipo mbona ukitembea turkey unaipata moja katika museum yao ile na nyengine ipo uzbekistan sipo mbili tuu original za kwanza tangu enzi za mtume wetu kipenzi.

Biblia ni fumbo biblia sio fumbo hakuna kitabu cha mungu ambacho ambacho kina mafumbo mafumbo na sio kama quraan ina balagha na nyengine nyingi nikitabu ambacho mpata watu wakawaida wanaweza kukibadilisha

Katika uislamu huwezi kumlazimisha mtu lazima awe muislamu imekatazwa hiyo sasa me siwezi kukufanya ww uwe muislam na mungu anasema sio sisi tunaweza kuwaongoza watu ila ni yy naweza kukupa ushahidi wote ila siwezi kukufanya ukaamini na mtume anasema nifikishieni japo aya moja sasa kazi yangu nishaifanya japo kidogo na nyengine anasema kumbusha hakika ukumbusho walokuwa waislamu watanimalizia angalau tupate thawabu pamoja .Ninachotaka kwenu nyinyi mumuabudu mungu wa kweli ambaye hakuzaa wala hakuzaliwa na hana mtoto kama yesu alivyosema wakujue ww kwanza mungu wa pekee na yesu ambaye umemtuma sio munaabudu mungu hata hawajulikani yupi mungu tizama hii BWANA MUNGU, MTOTO NAE MUNGU NA HOLY GHOST (GABRIEL) NAYE MUNGU kwanini hamuchanganyi na wanafunzi nao mungu pia.


La mwisho usijali mkuu kila la kheri mkuu #

ASSALAM ALAYKUM WARAHMATULLAHI WABARAKATUH.
 
HAKIKA MNA HAKI YA KUWA VILAZA DARASANI KAMA NI WAGUMU KUELEWA KIASI HIKI.!..NDO MAANA HATA NCHI INAWASHINDA KUINGOZA,,,,HIVI UMERISITI/SAPU MARA NGAPI...KAMA ULIPONA BASI KUNA MKRISTO ALIKUPA MSAADA HII NAUHAKIKA SANA,,,Huwezi kushundwa kuilewa biblia hasa kama ilivyo jieleza kwenye hicho kifungu ulicho nukuhu inaonyesha ni jinsi gani ulivyo bogasi.


MKuu me nashkuru mungu nimepita vizuri tuu wapo wakristo nilisoma nao naona hawapo tena darasa wapo mitaani ila siwezi kudanganya walinisaidia sana maana nilikua nafanya nao discussion sana kwenye class na sijarejea mkuu au kurisiti katika hicho kifungu kama nimekosea ungenionesha sehemu ama aya inayosema hii ni bibilia kama quraan inavyosema Innahadhal quraani yahdii lillatii usijesema natunga ningependa muislamu mwengine aimalizie ujue kama sisi tunatisha halafu watakupa na maana.Imetajwa hasa hii ni quraan wapi aya kwenye bibilia inasema hii ni bibilia iwe muongozo kwenu maswali madogo tuu.


ASSALAM ALAYKUM
 
Aisee hadi unatafuta public relation specialists! umeishiwa ninarudia Shetani anapenda kulinganisha na kujilinganisha na mungu. Endelea kumsoma Isa wa Quoran na mambo zake!! ila unapokuja kwenye Bible usilinganishe! Hata Alah siyo Mungu wa Wakristo!!


Mkuu naona unakuwa mgumu kunifahamu ndo maana natafuta hao watu wakufahamishe kidogo halafu ukisoma Issa ni jina lakiarabu ukitafsiri kwa english inakua jesus jee nambie nyinyi hamtuumi jesus ima uje useme jesus wa bible ya english sio yesu wa bibilia ya kiswahili na Mussa kama moses nahuyu nae sema sie pia duh kweli ww lakini nitakupa faida tuu Allah ni mungu wa wote na ndio maana jesus alipokua anatundikwa pale kwenye msalaba akaomba akasema ELOH ELOH itizame lugha ya yesu inavyofanana ALLAH ALLAH jiulize mayahudi wanamuitaje au hiyo inafanana na yehovah ama jesus ama jengine.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom