Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,870
- 155,831
mimi siamini kua watu weusi hatuna uwezo wa kujiongoza..! ila ni kwamba hatuwataki watu wenye uwezo wa kuongoza..! tunapenda kukumbatia wezi na hatutaki kua makini kwenye mambo makini na kuweka watu ambao tunajua na tuna uhakika na uadilifu wao kwenye mambo muhimu..! tuna kumbatia wezi na kuwafanya wawe marafiki eti... eti kwasababu wataficha maovu yetu(viongozi)...! hili ni jinamizi na ni kirusi kitakachokula nchi yetu milele zote kama hatutakuja kua macho na kutoa hawa wanaokula mali za uma..! sio kwamba hatuwajui watu waadilifu..! wanajulikana ila hawapendwi..! thanks.
Kumbe, huyu Mkuu alikuwa Mtume!!!!! Nambatiza Utume.
The man was a visionary; remember he said this in 1958 even before the country got its flag independence!!