KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
NAJIVUNIA UTANZANIA WANGU, SIYO UKRISTO WANGU.
Mimi ni mkristo, niliyezaliwa Tanzania. Najivunia sana utanzania wangu kuliko ukristo wangu.
Naamini kuwa watoto na wajukuu wangu na vizazi vijavyo, vinapaswa kuikuta Tanzania salama, yenye amani na inayoishika.
...
Ukristo wangu hauwezi kunifanya niiharibu nchi yangu.
Mimi binafsi, naweza kuifia nchi yangu.
Dini yangu haina mungu bora kuliko dini zingine, nawajibika kuamini kuwa, kila dini ya kweli inamuamini mungu wa kweli, Mungu hajatutuma tuue, tutese, tuchome MOTO, tunyanyase n.k ..... Hizi zote ni dhambi juu ya dhambi.
Wanaoua na kutesa kwa jina la mungu wanamkosea sana.
KIPAUMBELE KIWE TANZANIA YETU, SIYO DINI ZETU - HII NI KWA SABABU TANZANIA KAMA TANZANIA HAINA DINI. ANAYEJUA OFFICIAL RELIGION YA NCHI HII ATUELEZE HAPA.
Source:toka kwenye ukurasa wake(Julius Mtatiro) wa facebook.
Mimi ni mkristo, niliyezaliwa Tanzania. Najivunia sana utanzania wangu kuliko ukristo wangu.
Naamini kuwa watoto na wajukuu wangu na vizazi vijavyo, vinapaswa kuikuta Tanzania salama, yenye amani na inayoishika.
...
Ukristo wangu hauwezi kunifanya niiharibu nchi yangu.
Mimi binafsi, naweza kuifia nchi yangu.
Dini yangu haina mungu bora kuliko dini zingine, nawajibika kuamini kuwa, kila dini ya kweli inamuamini mungu wa kweli, Mungu hajatutuma tuue, tutese, tuchome MOTO, tunyanyase n.k ..... Hizi zote ni dhambi juu ya dhambi.
Wanaoua na kutesa kwa jina la mungu wanamkosea sana.
KIPAUMBELE KIWE TANZANIA YETU, SIYO DINI ZETU - HII NI KWA SABABU TANZANIA KAMA TANZANIA HAINA DINI. ANAYEJUA OFFICIAL RELIGION YA NCHI HII ATUELEZE HAPA.
Source:toka kwenye ukurasa wake(Julius Mtatiro) wa facebook.