Nauli ya Dar es Salaam - Arusha ni kiasi gani?

project planner

JF-Expert Member
Jul 8, 2019
1,166
1,532
Wakuu kwema,

Nina safari kidogo ya kutoka Dar es Saalam kwenda Arusha naomba kujua bei ya nauli ya kutoka Dar kwenda Arusha na basi gani?
 
Andaa kama 50,000/=. Hapo ni nauli ya basi. Pesa ya chakula njiani na ya usafiri wa kukutoa stand kukupeleka utakapofiki na pesa ya mawasiliano. Na chenji itabakia.

Nauli itategemea umepanda basi la kampuni gani. Gari nyingi za ruti ya Arusha ni nzuri. Nauli kipindi hiki cha sikukuu za pasaka sidhani kama itapanda sawa na kipindi cha Christmas.

Ila bargain kuanzia 20,000/= then usizidi 23,000/=.
 
Zipo zenye choo, wenyewe wanaziita luxury, ni 45,000. Zinafuatia za 40 na 37, ndo nyingi. Then zinafuatia ambazo nauli yako inategemea na nguvu yako ya kupiga mdomo, kuanzia 23, 25 hadi 30. Kampuni nyingi kubwa kwa route ya Dar - Arusha wanazo hizo high end za 45 na za kati.
Shida za haya low end ni kusimama sana road, comfortability sio kipaumbele, kujazana kama wakikuta aviria barabarani plus kupelekwa kwenye hotel za wasiwasi (vyoo vya wasiwasi).
So, mfuko wako utaamua.
 
Wakuu kwema,

Nina safari kidogo ya kutoka Dar es Saalam kwenda Arusha naomba kujua bei ya nauli ya kutoka Dar kwenda Arusha na basi gani?
Ni mjinga tu anayemiliki simu ambayo majibu yote anayoyataka atayapata kwenye hiyo simu anakuja kuwauliza watu wamtafutie jibu lililomo ndani ya simu yake pia!
 
Back
Top Bottom