Cicadulina
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 961
- 2,345
Serikali ya Jamuhuri ya Burundi imewapa mpaka tarehe 15 May wawakilishi wa shirika la afya duniani wawe wameondoka katika mipaka ya nchi hiyo. Wanaopaswa kuondoka ni:
====
Serikali ya Burundi imewafukuza wafanyakazi wanne wa Shirika la Afya Duniani ‘WHO’ walioko nchini humo akiwemo muwakilishi wa WHO nchini humo
Watu hao watapaswa kuondoka nchini humo kabla ya Mei 15. Waziri wa Mambo ya Nje aliwaaandikia barua watu hao bila kutaja sababu ya kufanya hivyo
Kisheria, kumzuia mtu kubaki nchini haiwahusu wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa, kwa mujibu wa sheria za kimtaifa za kidiplomasia zilizoelezewa kwenye kikao cha Vienna cha 1961
- Dr Walter Kazadi
- Professor Daniel Tarzy,
- Dr Ruhana Mirindi Bisimwa
- Dr Jean Pierre Mulunda
====
Serikali ya Burundi imewafukuza wafanyakazi wanne wa Shirika la Afya Duniani ‘WHO’ walioko nchini humo akiwemo muwakilishi wa WHO nchini humo
Watu hao watapaswa kuondoka nchini humo kabla ya Mei 15. Waziri wa Mambo ya Nje aliwaaandikia barua watu hao bila kutaja sababu ya kufanya hivyo
Kisheria, kumzuia mtu kubaki nchini haiwahusu wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa, kwa mujibu wa sheria za kimtaifa za kidiplomasia zilizoelezewa kwenye kikao cha Vienna cha 1961