wenzako akina jingalao, faizafoxy, simiyu yetu, wako wapi bora lizaboni yeye anaonekana ka kupatwa kwa jua, hao wengine hivi bado wanapumua kweli siwasikii kabisa,Utakuwa shabiki wa nyeupe, hatuhangaiki na wewe maana ni mnafiki
...ila si unakubali nawakimbiza! akina jingalao, FaizaFoxy, Simiyu Yetu wanajua kila kinachoendelea hapa jukwaaniwenzako akina jingalao, faizafoxy, simiyu yetu, wako wapi bora lizaboni yeye anaonekana ka kupatwa kwa jua, hao wengine hivi bado wanapumua kweli siwasikii kabisa,
Mnafiki kama yule ambaye hana haja ya kwenda bukobaUtakuwa shabiki wa nyeupe, hatuhangaiki na wewe maana ni mnafiki
Nalo nenoTusishangae asilimia kubwa ya huo msaada umewalenga wakimbizi toka burundi waishio kagera
Mkuu alishaa semaa "hana helaa na chakula cha kuwalishaa watakaoo patwa na njaa pia serikali sio ilio letaa tetemeko na watu wafanye kazi sioo kubwetekaa"Inamaana ss hatuna chakula kwenye maghala ya taifa
Burundi wamejitutumua
OVA
Nao rwanda hawako mbali wanakusanya mapakt ya inyange siku si nyingi watajitokezaRwanda vipi
Kwa nn Mkuu si ni ujiran mwema au unawaza nn?Daaa hii noma
TO THE EXTENT...Burundi wamejitutumua
OVA