Ule ujumbe anaotoa rais uhuru ni simple kujaribu kudumisha utulivu na amani afrika mashariki. Anatazama economic prospects na maendeleo za africa mashariki are at risk ikiwa vita vya DRC vitaendelezwa kinafiki huku UN na mataifa yaliyo chini ya SADC ikidrag kutafuta suluhisho ambao haupatikani. EAC wakati huu unatuchukua kwa integration and economic expansion rather than political federation. Rwanda has come out with their blue-print, vile vile kenya na Uganda South Sudan.
DRC peace deals and any peace deal for that matter cannot continue to be signed by rebels. Itahitaji mazungumzo ya round tables between opposing players signing agreements with pen and paper. Na ndio njia pekee ambapo a very good example is american nobelist Ralph bunch mediation kumaliza mzozo kati ya isreali na palestine na kuleta amani na ndio mzozo wa DRC inapaswa kufuata the same channel huku TZ iondoe majeshi DRC halafu kama inavyosemekana rebels kutoka rwanda na uganda waondoke DRC.
Pili, jeshi la DRC is weak tunavozungumza weaker than jeshi la rwanda as a country. Kwa sababu hawana hata right ya kutoa resolution yeyote kama taifa bila backing kutoka actors wa SADC na wengineyo. Hawana right ya kusema what is right for them. .....There are very many private Mining SPECULATORS forested chini ya muungano wa SADC with false mineral prospections na hivyo maendeleo ya Afrika kwa ujumla hauwezi kujengwa on just mere speculation ya madini kuwa kwenye ardhi. Madini haya yanapaswa kuchimbwa kutengenezwa hapa hapa africa na kuwa exported kuinua hali ya mataifa hayo...
Nataka kujuzwa na yeyote, isipokuwa South Africa na botswana ambayo kampuni nyingi wanayoyamiliki ni ya wachina na econimic regimes za africa kusini, kama kuna taifa ambayo inajivunia rasilamli za kiuchumi. That is why there is unrest and conflicts in areas like Zambia, between human rights activists and mining companies kwa sababu ya uhaba wa economic resources. lakini mchina akija kenya, they tell a differnet story sababu there is no scramble for the economic resources between them na wakenya.... most of these countries under SADC have meagre resources and It is agreeable kwamba ustawi na amani imewezesha TZ kufanya biashara ya kuexport agricultural goods, but the same cannot be said of other african countries under the SADC bloc.
.....ndio pia sababu kuu mataifa kadha chini ya SADC yenye uhaba wa rasilimali yanajipata wakati mwingine yakisalia na military option as the only way kusulihisha na kuyalinda kutokana na mizozo...
...ninapozungumzia resources za kiuchumi nina maana rsource za kiuchumi chini ya muungano wa SADC kufaidika kiuchumi kufacilitate integration....
.........Incase many of you do not know, TZ and kikwete knows very well that SADC has no future, that is why one leg is firmly stuck in EAC and one in SADC....hivi leo hata Watanzania hawana jukumu la kuiachilia EAC licha ya kuwa historically it is the HQ
...Tatu, ndio ruwaza mpya ya EAC maana Africa yahitaji a more practical approach and kutakuwa na mataifa chini ya muungano huo wanaotamani kujisalimisha kwenye miungano mingine. Jiulize kwa nini china na marekani wameanza kuwa na uhusiano wa karibu kiliko miaka za awali??..China na marekani wanajua tanzania ikishapata uhuru wa kiuchumi na kimawazo kuprocess rasilimali na export na kupata faida it will focus on protectionism against wao kuendela kuyanyakua.
...Nne, cc
JokaKuu, katika muongo huu it is still primitive kwa jeshi yeyote ya africa kusalia kuprotect political interests na mali za familia moja ya kabila since independence na wengine wamo pale DRC badala ya kuwawachia wenyewe kutafuta mikakati ya kustawisha uchumi wao.
You got it wrong, EAC naogopa sana mwenzangu ni mwigo wa kikoloni customs union kati ya kenya na uganda mwaka wa 1912. EAC started way back before tanganyika uganda kenya got their independence.
Secondly, the idea of EAC was born in Tanzania and it has been at the forefront of growing a healthier EAC since then!