Snipper
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 1,339
- 2,179
Halafu huwa najiuliza sana kwa nn huyu jamaa mnyarwanda anayejiita Mchambawima1 anashupalia mno issue za Burundi mtandaoni? Kila ukiingia Jf international unakuta mapost posts nyingi na zote ni kuhusu Burundi...je ni kweli kuwa ni propagandist wa Pk?