Burundi rejects African Union peacekeepers as 'invasion force'

Burundi rejects African Union peacekeepers as 'invasion force'

kusema sio tatizo! hata wewe mbona unasema mengi, kwa hiyo tukuamini kwa sababu unasema sana? mi ntaamini endapo watatuonyesha hiyo sehemu wanayofanyia mafunzo, majina ya walimu wao, nk... unaishi dunia gani wewe unatishika na jina UN? kwani haujuwi walivyo mmbambikia Saddam Hussein? hebu acha wazimu!
Halafu we jamaa nina wasiwasi na wewe! Si ni wewe unaependa kutuwekea link mbalimbali za UN na mashirikisho mbalimbali tuyasome? Kumbe na wewe huamini unayotuwekea hapa?
 
hilo la kuuwa raia wake tushalizowea tena wahutu kwa watutsi lakini siku zinavyoenda mbele inaonekana damu tamu zaidi kwake ni ya watutsi! mwanzo ulikuwa third termers Vs anti-third termers lakini kajitahidi kuwahadaa warundi wengi wanavijiji na wasio na elimu kwamba adui yao eti ni mtusi... upo hapo? yani michezo ileile ya Interahamwe 94, kwa jamii ambayo wengi wao hawajaelimika, nafikiri unajuwa kitachofwata... kadri siku zinapoenda mbele na hali inazidi kuwa mbaya haswa jeshini! jeshi lililokuwa linasifiwa kuungana hivi Nkurunziza kesha ligawa na hivi wanajeshi wakitutsi wanachomoka mmoja mmoja
Acha uongo wako wa kijinga, hata kama mnawahadaa watutsi wenzenu waasi jeshi, nkurunziza yupo vizuri kimedani ya kivita. Hawatatoka wote ila watakaotoka waende kwao watulie, wakileta fyoko watafundishwa adabu.
 
Utajua tu in due time...kama.ni propagandist wa nkurunziza or otherwise lakini mchambawima1 is becoming monotonous!!! Anakuwa kama.msemaji wa waasi wa Burundi...
Yote yanawezekana tu, kama huyu vyuma anavyokua mtetezi wa interahamwe humu jamvini
 
Kweli kabisa mkuu...Dr Mahiga, Waziri wa mambo ya nje wa Tanzania alichosema baada ya kutoka Burundi ni tofauti kabisa na wwnavyosema hawa wanyarwanda wa Jf.....propagandists wa kagame wamezidi humu jukwaani...huko Rwanda wanatoa mafunzo kwa waasi wa kwenda kusababisha unrest Burundi na huku mitandaoni wanachafua zaidi. Mbaya zaidi wanavamia makambi ya jeshi, wakipigwa wanaleta vilio vyao vya kipuuzi motandaooni eti tuwaonee huruma....bullshit!!!
Niliwahi kulisema hili siku za nyuma - wako well organised lengo lao kuu ni ku-broadcast disinformation kujaribu ku-draw attention za International Community - mambo mengi wanayo leta humu ni usanii mtupu - lakini slip up za ndimi zao zimetusaidia sana kuwasoma kirahisi malengo yao, sina shaka na Viongozi weledi wa Kiafrika wamekwisha ling'amua hilo.

Kwa kifupi ni hivi: Rwanda na Uganda wanataka kurudia mchezo wao walio mfanyia Kabila Sr. huko Kongo DRC - watahunda kikosi kilicho pewa mafunzo ya kijeshi kwenye makambi ya wakimbizi huko Rwanda wanao waita wakimbizi lakini tukumbuke si rahisi ku-distinguish kati ya Mnyarwanda na Mrundi, I can asure U watutsi wa Burundi na Rwanda lengo lao moja watasaidiana na Wanajeshi wa Uganda ambao watanyifanya ni wakimbizi 20,000 kutoka Burundi ambao hawamtaki Nkuruzinza - si wamekwisha jitangaza huko Uganda, wewe unafikiri ni kitu gani kilicho wafanya wakimbilea Uganda ambako ni mbali ukilinganisha na Tanzania au Rwanda - wakimbizi hao wakapewa Airtime na Serikali ya Uganda kumkandia Nkuruzinza - swali ni: Hivi walikuwa wanataka ku-pre empty kitu gani? This should be taken as a wakeup call kwa viongozi wa AU na UN kwamba hawa watu wawanip in the bud kabla hawajasababisha madhala zaidi nchini Burundi na majirani zake - narudia kusema viongozi hao wawali wako determined kweli kweli hawatajali AU au UN zitasema nini.

Sasa ni nini kitatokea baada ya kukamilisha mipango yao ovu - utasikia WAASI wanatangaza kwenye radio na TV kwamba hali ya Burundi ni tete sana kwa hiyo waasi wa Burundi kutokea Rwanda wameungana na waasi wa Burundi kutokea Uganda chini ya Jenerali Mtutsi aliyeasi jeshi la Nkuruzinza wote kwa pamoja wameamua kuhungana ili wakomeshe mauaji Nchini Burundi ili genocide hisije ikajirudia Burundi (visingizio tu) hivyo wamehamua kupigana/kuasi kama njia pekee ya kumlazimisha Nkuruzinza kuhachia madaraka ili uchaguzi uhitishwe upya - huo ndio ulaghai watakao tumia kutekeleza malengo yao, Viongozi wa Africa na International Community wasiwasikilize watu hawa hata kidogo.
 
Acha uongo wako wa kijinga, hata kama mnawahadaa watutsi wenzenu waasi jeshi, nkurunziza yupo vizuri kimedani ya kivita. Hawatatoka wote ila watakaotoka waende kwao watulie, wakileta fyoko watafundishwa adabu.
Mkuu actually hivi sasa kuna umuhimu wa Nkuruzinza kurudisha majeshi yake kutoka Somalia waje kuhungana na wenzao kulinda Nchi yao dhidi ya mapandikizi.
 
Niliwahi kulisema hili siku za nyuma - wako well organised lengo lao kuu ni ku-broadcast disinformation kujaribu ku-draw attention za International Community - mambo mengi wanayo leta humu ni usanii mtupu - lakini slip up za ndimi zao zimetusaidia sana kuwasoma kirahisi malengo yao, sina shaka na Viongozi weledi wa Kiafrika wamekwisha ling'amua hilo.

Kwa kifupi ni hivi: Rwanda na Uganda wanataka kurudia mchezo wao walio mfanyia Kabila Sr. huko Kongo DRC - watahunda kikosi kilicho pewa mafunzo ya kijeshi kwenye makambi ya wakimbizi huko Rwanda wanao waita wakimbizi lakini tukumbuke si rahisi ku-distinguish kati ya Mnyarwanda na Mrundi, I can asure U watutsi wa Burundi na Rwanda lengo lao moja watasaidiana na Wanajeshi wa Uganda ambao watanyifanya ni wakimbizi 20,000 kutoka Burundi ambao hawamtaki Nkuruzinza - si wamekwisha jitangaza huko Uganda, wewe unafikiri ni kitu gani kilicho wafanya wakimbilea Uganda ambako ni mbali ukilinganisha na Tanzania au Rwanda - wakimbizi hao wakapewa Airtime na Serikali ya Uganda kumkandia Nkuruzinza - swali ni: Hivi walikuwa wanataka ku-pre empty kitu gani? This should be taken as a wakeup call kwa viongozi wa AU na UN kwamba hawa watu wawanip in the bud kabla hawajasababisha madhala zaidi nchini Burundi na majirani zake - narudia kusema viongozi hao wawali wako determined kweli kweli hawatajali AU au UN zitasema nini.

Sasa ni nini kitatokea baada ya kukamilisha mipango yao ovu - utasikia WAASI wanatangaza kwenye radio na TV kwamba hali ya Burundi ni tete sana kwa hiyo waasi wa Burundi kutokea Rwanda wameungana na waasi wa Burundi kutokea Uganda chini ya Jenerali Mtutsi aliyeasi jeshi la Nkuruzinza wote kwa pamoja wameamua kuhungana ili wakomeshe mauaji Nchini Burundi ili genocide hisije ikajirudia Burundi (visingizio tu) hivyo wamehamua kupigana/kuasi kama njia pekee ya kumlazimisha Nkuruzinza kuhachia madaraka ili uchaguzi uhitishwe upya - huo ndio ulaghai watakao tumia kutekeleza malengo yao, Viongozi wa Africa na International Community wasiwasikilize watu hawa hata kidogo.
Hahaha Bukyanandi wewe ni bingwa wa fiction lakini at the end of the day jamaa yako watamchomoa tuu kashindwa kuongoza nchi na watu wanakufa under his watch hakuna excuse kwa hilo,Burundi ni very unstable na ukabila bado upo na mbaya zaidi jeshi limegawanyika,watu wanaachia ngazi kwa kuongea uwongo tuu sasa jamaa yako vipi tena? uraisi sio deal kama unaitumbukiza nchi kwenye vita tena
 
Hahaha Bukyanandi wewe ni bingwa wa fiction lakini at the end of the day jamaa yako watamchomoa tuu kashindwa kuongoza nchi na watu wanakufa under his watch hakuna excuse kwa hilo,Burundi ni very unstable na ukabila bado upo na mbaya zaidi jeshi limegawanyika,watu wanaachia ngazi kwa kuongea uwongo tuu sasa jamaa yako vipi tena? uraisi sio deal kama unaitumbukiza nchi kwenye vita tena
Koba bwana! Nimecheka karibu nife - tell U what? You are unquestionably mega smart upstair - lakini ukweli unabaki pale pale Koba - kwamba "EBYO MVUGA OBIHINZI" Olumva Koba - sijui kama nimepatia. HAPPY NEW YEAR.
 
Last edited:
Koba bwana! Nimecheka karibu nife - tell U what? You are unquestionably mega smart upstair - lakini ukweli unabaki pale pale Koba - kwamba "EBYO MVUGA OBIHINZI" Olumva Koba - sijui kama nimepatia. HAPPY NEW YEAR.
Hahahaa mkuu naona umeamua kuchanganya na kilugha! Fantastic! Wape vya kwao ili wakuelewe.All in all Nkurunziza ana jeshi imara, nakuhakikishia utasikia kitakachowakuta wahima. RPA wanawajua vyema FDD, walishawahi kupambana Congo!
 
Ni kweli kabisa, mchambawima1 ndie mpiga propaganda mkuu wa paka. Pia anajihusisha na siasa za Burundi sana kwa sababu yeye na watutsi wenzake wakiongozwa na paka wanataka Burundi iongozwe na mtutsi mwenzao ili iwe rahisi kufanya ujambazi wao dhidi ya wahitu.
heri ya mwaka mpya @vyuma naona umehararisha kabisa eti mimi ni mpiga propaganda wa Kagame? natamani ningejuwa ni wapi Kagame anawalipa watu kama mimi kwani hapa JF ku debate na watu kama nyinyi ni mtelemko saaana! nyi ni kelele mtindo mmoja and ZERO facts! kila ninalouliza sijawahi kujibiwa lakini kelele haziishi... hivi kwanini wewe ukabila unatakufuna hivyo? ndugu yako @jMali kapata kazi mpya nini, mbona simuoni hapa tena? trust me, you are nothing compared to him, we are still trying to cure those contaminated by him as you can see, the job is not yet done!
I defend those in need and not necessarily "Tutsis" as you put it! ubinadamu kwanza! kuliko uhutu au ututsi, kwanza wacha nikukumbushe, kule kwenu Burundi wakati mnaongozwa na "watutsi" ilisaidia nini kwa wanyarwanda "watutsi" waliokuwa wamefukuzwa kwao? mliwatenga, mkawapatia sehemu ya kuishi iliyo kuwa imewashinda kabisa(Mushiha) jaribu kukumbuka ni wangapi waliopoteza maisha kutokana na mzingira waliokuwa wa kiishi, haya mashuleni je? 50% kwa mrundi kufauru na 80% kwa Mnyarwanda kufauru! chuo kikuu kuna faculties wanyarwanda walikuwa hawakubaliwi kuzisoma, haya turudi kwenye ajira, ilikuwaje? wote waliishia kuwa walimu, turudi kwenye vita ya ukombozi wa Rwanda, ndugu zako walifanyaje? vijana wetu walikuwa wanatoroka usikuusiku kusudi wasikamatwe na majeshi ya Burundi yaliyokuwa yakiwakamata na kuwakabidhi kwa habyarimana.... ya kusema ni mengi lakini ustaarabu hauturuhusu tulipize visasi especially in the times of need when your guy Nkurunziza is killing innocent people!
 
Koba bwana! Nimecheka karibu nife - tell U what? You are unquestionably mega smart upstair - lakini ukweli unabaki pale pale Koba - kwamba "EBYO MVUGA OBIHINZI" Olumva Koba - sijui kama nimepatia. HAPPY NEW YEAR.
happy new year @Bukyanagandi haujapatia lakini umeeleweka! sijuwi ni lugha gani lakini inataka kufanana na yetu "IBYO MVUGA URABIZI" URUMVA? @Koba happy new year my friend! naona zinaiva na huyu jamaa, basi naomba umkumbushie kuwa anajibu maswali yangu, siyo kuzuga alafu namwona upande wa pili akipumbazana na Mrundi @vyuma
 
Hahahaa mkuu naona umeamua kuchanganya na kilugha! Fantastic! Wape vya kwao ili wakuelewe.All in all Nkurunziza ana jeshi imara, nakuhakikishia utasikia kitakachowakuta wahima. RPA wanawajua vyema FDD, walishawahi kupambana Congo!
lol... umenoa! huko tushasema hatuji! FDD yako haitaki kutuona kwa hiyo AU ikatafute wasamalia wema kwingine... cha muhimu ni kwamba ukichaa wa Nkurunziza lazima utulizwe... hata kama hatumo kwenye list.
 
heri ya mwaka mpya @vyuma naona umehararisha kabisa eti mimi ni mpiga propaganda wa Kagame? natamani ningejuwa ni wapi Kagame anawalipa watu kama mimi kwani hapa JF ku debate na watu kama nyinyi ni mtelemko saaana! nyi ni kelele mtindo mmoja and ZERO facts! kila ninalouliza sijawahi kujibiwa lakini kelele haziishi... hivi kwanini wewe ukabila unatakufuna hivyo? ndugu yako @jMali kapata kazi mpya nini, mbona simuoni hapa tena? trust me, you are nothing compared to him, we are still trying to cure those contaminated by him as you can see, the job is not yet done!
I defend those in need and not necessarily "Tutsis" as you put it! ubinadamu kwanza! kuliko uhutu au ututsi, kwanza wacha nikukumbushe, kule kwenu Burundi wakati mnaongozwa na "watutsi" ilisaidia nini kwa wanyarwanda "watutsi" waliokuwa wamefukuzwa kwao? mliwatenga, mkawapatia sehemu ya kuishi iliyo kuwa imewashinda kabisa(Mushiha) jaribu kukumbuka ni wangapi waliopoteza maisha kutokana na mzingira waliokuwa wa kiishi, haya mashuleni je? 50% kwa mrundi kufauru na 80% kwa Mnyarwanda kufauru! chuo kikuu kuna faculties wanyarwanda walikuwa hawakubaliwi kuzisoma, haya turudi kwenye ajira, ilikuwaje? wote waliishia kuwa walimu, turudi kwenye vita ya ukombozi wa Rwanda, ndugu zako walifanyaje? vijana wetu walikuwa wanatoroka usikuusiku kusudi wasikamatwe na majeshi ya Burundi yaliyokuwa yakiwakamata na kuwakabidhi kwa habyarimana.... ya kusema ni mengi lakini ustaarabu hauturuhusu tulipize visasi especially in the times of need when your guy Nkurunziza is killing innocent people!
Heri ya mwaka mpya nawe pia mchambawima1. Kaka yako paka ameshasema atafia ikulu, duh ! Mnakazi kwelikweli! Hivi, to tell me that i am nothing compared to jMali,what do you mean exactly ? It seems you know jMali in and out of him, tell us who is him realy ? Again i am telling you, i am not a rundian but if wanyamwezi are from Burundi then you are right. May be my fault is telling the truth that i know.
 
lol... umenoa! huko tushasema hatuji! FDD yako haitaki kutuona kwa hiyo AU ikatafute wasamalia wema kwingine... cha muhimu ni kwamba ukichaa wa Nkurunziza lazima utulizwe... hata kama hatumo kwenye list.
Hata hao AU hawatakiwi kuonekana Burundi, otherwise wakilazimisha watakutana na kichapo cha paka mwizi !
 
Niliwahi kulisema hili siku za nyuma - wako well organised lengo lao kuu ni ku-broadcast disinformation kujaribu ku-draw attention za International Community - mambo mengi wanayo leta humu ni usanii mtupu - lakini slip up za ndimi zao zimetusaidia sana kuwasoma kirahisi malengo yao, sina shaka na Viongozi weledi wa Kiafrika wamekwisha ling'amua hilo.

Kwa kifupi ni hivi: Rwanda na Uganda wanataka kurudia mchezo wao walio mfanyia Kabila Sr. huko Kongo DRC - watahunda kikosi kilicho pewa mafunzo ya kijeshi kwenye makambi ya wakimbizi huko Rwanda wanao waita wakimbizi lakini tukumbuke si rahisi ku-distinguish kati ya Mnyarwanda na Mrundi, I can asure U watutsi wa Burundi na Rwanda lengo lao moja watasaidiana na Wanajeshi wa Uganda ambao watanyifanya ni wakimbizi 20,000 kutoka Burundi ambao hawamtaki Nkuruzinza - si wamekwisha jitangaza huko Uganda, wewe unafikiri ni kitu gani kilicho wafanya wakimbilea Uganda ambako ni mbali ukilinganisha na Tanzania au Rwanda - wakimbizi hao wakapewa Airtime na Serikali ya Uganda kumkandia Nkuruzinza - swali ni: Hivi walikuwa wanataka ku-pre empty kitu gani? This should be taken as a wakeup call kwa viongozi wa AU na UN kwamba hawa watu wawanip in the bud kabla hawajasababisha madhala zaidi nchini Burundi na majirani zake - narudia kusema viongozi hao wawali wako determined kweli kweli hawatajali AU au UN zitasema nini.

Sasa ni nini kitatokea baada ya kukamilisha mipango yao ovu - utasikia WAASI wanatangaza kwenye radio na TV kwamba hali ya Burundi ni tete sana kwa hiyo waasi wa Burundi kutokea Rwanda wameungana na waasi wa Burundi kutokea Uganda chini ya Jenerali Mtutsi aliyeasi jeshi la Nkuruzinza wote kwa pamoja wameamua kuhungana ili wakomeshe mauaji Nchini Burundi ili genocide hisije ikajirudia Burundi (visingizio tu) hivyo wamehamua kupigana/kuasi kama njia pekee ya kumlazimisha Nkuruzinza kuhachia madaraka ili uchaguzi uhitishwe upya - huo ndio ulaghai watakao tumia kutekeleza malengo yao, Viongozi wa Africa na International Community wasiwasikilize watu hawa hata kidogo.
Heri ya mwaka mpya nawe pia mchambawima1. Kaka yako paka ameshasema atafia ikulu, duh ! Mnakazi kwelikweli! Hivi, to tell me that i am nothing compared to jMali,what do you mean exactly ? It seems you know jMali in and out of him, tell us who is him realy ? Again i am telling you, i am not a rundian but if wanyamwezi are from Burundi then you are right. May be my fault is telling the truth that i know.
which truth?
 
Hata hao AU hawatakiwi kuonekana Burundi, otherwise wakilazimisha watakutana na kichapo cha paka mwizi !
wewe utakuwa unaishi kwenye sayari nyingine kabisa! hebu sikiliza wahusika kidogo...
 
That you hima want to extend your empire that is why you hâte president Nkurunziza and you are spreading lies against thé situation in Burundi.
lol! pants down! zingatia kwenye red, Mnyamwezi mwenye keyboard ya kifaransa na bado tutawapata tu! au ni QWERTY kama yangu?
 
That you hima want to extend your empire that is why you hâte president Nkurunziza and you are spreading lies against thé situation in Burundi.
niko ga mutama! winyegeje kenshi ariko none ndagufashe? za mwizi ni arobaini @vyuma mi nilijuwa tu wanyamwezi na ustaarabu wao, watawezaje kuwa na akili za kijinga kama zako...
 
@vyuma mi naona tuanze ku debate kwa Kirundi, mi nshawazoea lakini naona noma jinsi unavyojianika hapa kwakuandika ukabila kutwa kucha, kwa wasiyo wajuwa Extremist-Hutus wanafikiri akili zetu sawa... halafu baada ya kukuvua nguo, ni lini utawaomba wanyamwezi msamaha? @jMali
 
lol! pants down! zingatia kwenye red, Mnyamwezi mwenye keyboard ya kifaransa na bado tutawapata tu! au ni QWERTY kama yangu?
That you hima want to extend your empire that is why you hâte president Nkurunziza and you are spreading lies against thé situation in Burundi.
jamani njooni mjionee @vyuma ... sijuwi ni IMBONEARAKURE au INTERAHAMWE kila siku anatuzingua eti yeye mnyamwezi kumbe hola! lugha za hawa jamaa zinajulikana kwa sisi tunaowajuwa, huwa hawachukui round... hata kubwa lao @jMali kesha ingia mitini zamani @murutongore @Koba @Talkandtalk @MK254 @Gamba la Nyoka @einstein newton @Hoshea @Hute @bona @JokaKuu
 
Back
Top Bottom