Mkuu jamaa hawa ni mahili sana katika masuala ya propaganda,uwezi kuamini fedha zinazo tumiwa na Serikali ya Rwanda kurubuni waandishi wa habari na magazeti ya ndani na nje, si hilo tu wana mpaka ma lobbyists kwenye Bunge/Serikali ya Merikani!!
Kuna wakati fulani Balozi wa Merikani kwenye Umoja wa Mataifa alikuwa ametekwa akili na Balozi wa Rwanda kwenye Umoja wa Mataifa - wanawake hao wawili walikuwa vituko kweli kweli,yaani Balozi wa Merikani akinyanyuka kunzungumzia masuala ya Rwanda na DRC ungefikiri amepewa Govt handout za Serikali ya Rwanda kuitetea - alikuwa amejisahau kabisa kwamba yeye anawakilisha Merikani na sio Rwanda, sijui Obama alimshitukia alimuondoa fasta UN na kumuhamishia kwingine!
Mkuu hawa jamaa wa kitutsi mbona mambo yao yanafahamika? Yaani ukifuatilia kwa makini na hasa ukiwa great thinker uzandiki wao upo peupe na lengo lao kubwa ni watutsi watawale africa nzima. Wewe shangaa, Burundi hawajaomba msaada wowote wa AU au UN la ajabu majitu yanajipendekeza kupeleka majeshi eti kulinda amani, amani ipi ? Burundi ni shwari kabisa, Bujumbura tu ndio kuna fujofujo na sio Bujumbura nzima. Nkurunziza anapendwa sana na raia wake asilimia kubwa ya wanaompinga ni watusi tena wa baadhi ya mitaa ya Bujumbura.