Burundi rejects African Union peacekeepers as 'invasion force'

Burundi rejects African Union peacekeepers as 'invasion force'

happy new year @Bukyanagandi haujapatia lakini umeeleweka! sij
uwi ni lugha gani lakini inataka kufanana na yetu "IBYO MVUGA URABIZI" URUMVA? @Koba happy new year my friend! naona zinaiva na huyu jamaa, basi naomba umkumbushie kuwa anajibu maswali yangu, siyo kuzuga alafu namwona upande wa pili akipumbazana na Mrundi @vyuma
Hoya bilananiye!
Kwanza HERI ya mwaka MPYA mwami Ntare pMchambawima1
happy new year @Bukyanagandi haujapatia lakini umeeleweka! sijuwi ni lugha gani lakini inataka kufanana na yetu "IBYO MVUGA URABIZI" URUMVA? @Koba happy new year my friend! naona zinaiva na huyu jamaa, basi naomba umkumbushie kuwa anajibu maswali yangu, siyo kuzuga alafu namwona upande wa pili akipumbazana na Mrundi @vyuma
Mkuu Mchambawima1 mbona masuala ya Rwanda na Burundi yanachanganya sana,nimesoma ulicho andika kuhusu Burundi chini ya Nkuruzinza hivi Watutsi walikuwa wanabaguliwa kwa kiasi hicho kweli!! Mambo yenyewe kama ndiyo yalivyo basi makabila haya mawili hayawezi kukaa chini yakaelewana hata siku moja - kila kabila lina issues zake, na ukichunguza kiundani madai mengine yako justified kabisa. Sasa nini kiwe suluhisho la kudumu kuhusu makabila haya mawili save BATWA, binafsi naona/penekeza yatengwe - Watutsi wa Rwanda,Congo DRC,Uganda na Tanzania wapewe nchi ya Rwanda; Wahutu na Batwa wa Burundi,Rwanda,Congo DRC na Tanzania wapewe Burundi.

Ku accomodate 4 expected population explosion basi sehemu ndogo ya mashariki mwa DRC wapewe Rwanda na Burundi hilo likitekelezwa na UN hatutasikia tena masuala ya ugomvi husio isha baina ya makabila hayo mawili.Urumva mwami Ntare Mchambawima wa tandatu.
 
lol! pants down! zingatia kwenye red, Mnyamwezi mwenye keyboard ya kifaransa na bado tutawapata tu! au ni QWERTY kama yangu?

Another one bites the dust....hahahahaha....bado kuna wengine ambao wanaliwa timing. Watajulikana tu
 
Hoya bilananiye!
Kwanza HERI ya mwaka MPYA mwami Ntare pMchambawima1
Mkuu Mchambawima1 mbona masuala ya Rwanda na Burundi yanachanganya sana,nimesoma ulicho andika kuhusu Burundi chini ya Nkuruzinza hivi Watutsi walikuwa wanabaguliwa kwa kiasi hicho kweli!! Mambo yenyewe kama ndiyo yalivyo basi makabila haya mawili hayawezi kukaa chini yakaelewana hata siku moja - kila kabila lina issues zake, na ukichunguza kiundani madai mengine yako justified kabisa. Sasa nini kiwe suluhisho la kudumu kuhusu makabila haya mawili save BATWA, binafsi naona/penekeza yatengwe - Watutsi wa Rwanda,Congo DRC,Uganda na Tanzania wapewe nchi ya Rwanda; Wahutu na Batwa wa Burundi,Rwanda,Congo DRC na Tanzania wapewe Burundi.

Ku accomodate 4 expected population explosion basi sehemu ndogo ya mashariki mwa DRC wapewe Rwanda na Burundi hilo likitekelezwa na UN hatutasikia tena masuala ya ugomvi husio isha baina ya makabila hayo mawili.Urumva mwami Ntare Mchambawima wa tandatu.
husio isha baina ya makabiaB
Hoya bilananiye!
Kwanza HERI ya mwaka MPYA mwami Ntare pMchambawima1
Mkuu Mchambawima1 mbona masuala ya Rwanda na Burundi yanachanganya sana,nimesoma ulicho andika kuhusu Burundi chini ya Nkuruzinza hivi Watutsi walikuwa wanabaguliwa kwa kiasi hicho kweli!! Mambo yenyewe kama ndiyo yalivyo basi makabila haya mawili hayawezi kukaa chini yakaelewana hata siku moja - kila kabila lina issues zake, na ukichunguza kiundani madai mengine yako justified kabisa. Sasa nini kiwe suluhisho la kudumu kuhusu makabila haya mawili save BATWA, binafsi naona/penekeza yatengwe - Watutsi wa Rwanda,Congo DRC,Uganda na Tanzania wapewe nchi ya Rwanda; Wahutu na Batwa wa Burundi,Rwanda,Congo DRC na Tanzania wapewe Burundi.

Ku accomodate 4 expected population explosion basi sehemu ndogo ya mashariki mwa DRC wapewe Rwanda na Burundi hilo likitekelezwa na UN hatutasikia tena masuala ya ugomvi husio isha baina ya makabila hayo mawili.Urumva mwami Ntare Mchambawima wa tandatu.
bado hujanielewa!
Hoya bilananiye!
Kwanza HERI ya mwaka MPYA mwami Ntare pMchambawima1
Mkuu Mchambawima1 mbona masuala ya Rwanda na Burundi yanachanganya sana,nimesoma ulicho andika kuhusu Burundi chini ya Nkuruzinza hivi Watutsi walikuwa wanabaguliwa kwa kiasi hicho kweli!! Mambo yenyewe kama ndiyo yalivyo basi makabila haya mawili hayawezi kukaa chini yakaelewana hata siku moja - kila kabila lina issues zake, na ukichunguza kiundani madai mengine yako justified kabisa. Sasa nini kiwe suluhisho la kudumu kuhusu makabila haya mawili save BATWA, binafsi naona/penekeza yatengwe - Watutsi wa Rwanda,Congo DRC,Uganda na Tanzania wapewe nchi ya Rwanda; Wahutu na Batwa wa Burundi,Rwanda,Congo DRC na Tanzania wapewe Burundi.

Ku accomodate 4 expected population explosion basi sehemu ndogo ya mashariki mwa DRC wapewe Rwanda na Burundi hilo likitekelezwa na UN hatutasikia tena masuala ya ugomvi husio isha baina ya makabila hayo mawili.Urumva mwami Ntare Mchambawima wa tandatu.
hapana!
Hoya bilananiye!
Kwanza HERI ya mwaka MPYA mwami Ntare pMchambawima1
Mkuu Mchambawima1 mbona masuala ya Rwanda na Burundi yanachanganya sana,nimesoma ulicho andika kuhusu Burundi chini ya Nkuruzinza hivi Watutsi walikuwa wanabaguliwa kwa kiasi hicho kweli!! Mambo yenyewe kama ndiyo yalivyo basi makabila haya mawili hayawezi kukaa chini yakaelewana hata siku moja - kila kabila lina issues zake, na ukichunguza kiundani madai mengine yako justified kabisa. Sasa nini kiwe suluhisho la kudumu kuhusu makabila haya mawili save BATWA, binafsi naona/penekeza yatengwe - Watutsi wa Rwanda,Congo DRC,Uganda na Tanzania wapewe nchi ya Rwanda; Wahutu na Batwa wa Burundi,Rwanda,Congo DRC na Tanzania wapewe Burundi.

Ku accomodate 4 expected population explosion basi sehemu ndogo ya mashariki mwa DRC wapewe Rwanda na Burundi hilo likitekelezwa na UN hatutasikia tena masuala ya ugomvi husio isha baina ya makabila hayo mawili.Urumva mwami Ntare Mchambawima wa tandatu.
@Bukyanagandi mbona hakuna la kuchanganya kama waweza kuyaendea mdogomdogo! siunaona hata hivi bado unajichanganya mkuu, Nkurunziza unamsingizia bure! mi nilikuwa namwambia Mrundi @vyuma anayetulazimisha kukubali kwamba eti tunampinga Nkurunziza kwa sababu eti tunataka kueneza HIMA empire! ndio nikamkumbusha sisi wanya Rwanda hatujali ni kabila gani linaloongoza Burundi, tunawachukulia wote kama warundi kwani hata kipindi Burundi ilikuwa ikiongozwa na "Watutsi" akina Michombero, Bagaza au Buyoya mbona nao waliwatesa sana watu wetu waliokuwa wamefukuzwa na extremist Hutus miaka ya 59, waliishi katika mazingira magumu sana hadi siku tulipoikomboa Rwanda 94... kwetu sisi hatujali atakaye ongoza Burundi wakitaka wakakodishe hata Mchina, ni hiari yao! ila hatupendezwi na kuona mtu anashirikiana na wauwaji FDRL au kuuwa raia wake usiku na mchana... ukichaa wake lazima usimamishwe!
hilo la kuzigawa nchi ni kama vile kuruka mkojo na kukanyaga kinyesi! Rwanda ni ya Wanyarwanda (Hutu, Tutsi & Twa) na bila hivyo, sio Rwanda tena! mi naona suruhisho la kudumu ni kuwatia fimbo warundi wenye vichwa vizito kama Nkurunziza mpaka watie akili! mi nashindwa kuelewa watu gani hawa wanaotaka kutawaliwa na past, tena past yenyewe mbaya kupindukia... tabu tupu! waanze moja kama sisi na watafanikiwa tu!
 
Another one bites the dust....hahahahaha....bado kuna wengine ambao wanaliwa timing. Watajulikana tu
aisee! alikuwa kesha anza zile kelele zake kama za @jMali nilipombaini tu sijuwi hata kapitia wapi! ghafla huyooooooooo! sijuwi kaenda kujinyonga "mnyamwezi" @vyuma au yuko anachonga ID mpya... let's see!
 
Last edited:
Daah huyu mnyamwezi nimemkubali sana inaonekana Tabora siku hizi ni jirani sana Burundi
 
@vyuma mi naona tuanze ku debate kwa Kirundi, mi nshawazoea lakini naona noma jinsi unavyojianika hapa kwakuandika ukabila kutwa kucha, kwa wasiyo wajuwa Extremist-Hutus wanafikiri akili zetu sawa... halafu baada ya kukuvua nguo, ni lini utawaomba wanyamwezi msamaha? @jMali
Nita debate vipi kwa Kirundi ilhali sikijui? Nilishakueleza mara nyingi mimi sio mrundi, ninazungumza ninachokijua, hata hivyo mrundi ni sawa na mtanzania, mmalawi, mmozambique etc. Maadamu umenilazimisha kuwa mrundi let me be, but let us debate in kiswahili or English kwakuwa ndio lugha ninazozimudu.
 
Nita debate vipi kwa Kirundi ilhali sikijui? Nilishakueleza mara nyingi mimi sio mrundi, ninazungumza ninachokijua, hata hivyo mrundi ni sawa na mtanzania, mmalawi, mmozambique etc. Maadamu umenilazimisha kuwa mrundi let me be, but let us debate in kiswahili or English kwakuwa ndio lugha ninazozimudu.
we bwana acha uhuni! kwanza ungeanza kwa kuwaomba ladhi wanyamwezi... nilijuwa hautarudi tena, hebu tuambie hiyo keyboard ya AZERTY umeitowa wapi? au ni zawadi kutoka ufaransa? yani ukabila ulivyo tawala fikra zako, unashindwa hata kusingizia typo-error? we kweli mtambo wa Nkurunziza!
 
we bwana acha uhuni! kwanza ungeanza kwa kuwaomba ladhi wanyamwezi... nilijuwa hautarudi tena, hebu tuambie hiyo keyboard ya AZERTY umeitowa wapi? au ni zawadi kutoka ufaransa? yani ukabila ulivyo tawala fikra zako, unashindwa hata kusingizia typo-error? we kweli mtambo wa Nkurunziza!
It is true ni type error, why should I deny my citizenship?For which reason? I am proud to be who I am. Niwe mrundi au mkongoman au mtanzania bado mimi ni mimi. Let us focas to the agenda on the table rather than nationalism.
 
It is true ni type error, why should I deny my citizenship?For which reason? I am proud to be who I am. Niwe mrundi au mkongoman au mtanzania bado mimi ni mimi. Let us focas to the agenda on the table rather than nationalism.
lol! hauna lolote! typing error? OK na keyboard ipi sasa QWERTY au AZERTY? kwa sababu hizo character zipo mbali na mbali kabisa, saa sijuwi ndio niseme... kuwa mkweli bwana au Membe alikuletea kama zawadi kutoka ufaransa?
 
Halafu huwa najiuliza sana kwa nn huyu jamaa mnyarwanda anayejiita Mchambawima1 anashupalia mno issue za Burundi mtandaoni? Kila ukiingia Jf international unakuta mapost posts nyingi na zote ni kuhusu Burundi...je ni kweli kuwa ni propagandist wa Pk?
Vipi unaongeleaje wale wanaoshupalia mambo ya Rwanda ilhali hawataki kukubali kuwa ni wanyaRwanda, atleast yeye hajaficha uraia wake:::
Unamuongeleaje jMali?
 
jamani njooni mjionee @vyuma ... sijuwi ni IMBONEARAKURE au INTERAHAMWE kila siku anatuzingua eti yeye mnyamwezi kumbe hola! lugha za hawa jamaa zinajulikana kwa sisi tunaowajuwa, huwa hawachukui round... hata kubwa lao @jMali kesha ingia mitini zamani @murutongore @Koba @Talkandtalk @MK254 @Gamba la Nyoka @einstein newton @Hoshea @Hute @bona @JokaKuu
Ndugu hata usisumbuke hao ni Wa rundi, nia yao nikuiingiza Rwanda kwenye mgogoro wao, mimi nawashangaa yaani our Pesident alisubiri Nkurunziza amalizie mda wake ndio akapanga kuanzisha vurugu Burundi? mbona kabla ya maandamano ya kukataa third term uhusiano ulikuwa mzuri tu.
Haya nisawa na yaleyale ya Habyarimana, wanaingizia ukabila ili kupata sympathy ya majority, kumbuka idadi yawatu waliokuwa wanaandamana kumpinga Nkurunziza, hawa walikuwa wanatoka makabila yote ila baadae, jamaa ndio wakaingiza ukabila kama gia ya kupata support:
Rwanda haina faida yoyote ile kudestabilize Burundi, lakini what ever happens in Burundi have great impact to Rwanda:
Issue ya Hima empire ni myth ambayo haina hata single element of evidence:
Japo Burundi ilikuwa chini ya uongozi wa kitutsi,Rwandan Tutsis refugees waliokimbila Burundi miaka ya 60 walihangaika sana:
Huwezi kuwa na maendeleo wakati kwenye fikra zako bado unafikiria ukabila tu, hii kitu haina tija na ni ulimbukeni:
 
Ndugu hata usisumbuke hao ni Wa rundi, nia yao nikuiingiza Rwanda kwenye mgogoro wao, mimi nawashangaa yaani our Pesident alisubiri Nkurunziza amalizie mda wake ndio akapanga kuanzisha vurugu Burundi? mbona kabla ya maandamano ya kukataa third term uhusiano ulikuwa mzuri tu.
Haya nisawa na yaleyale ya Habyarimana, wanaingizia ukabila ili kupata sympathy ya majority, kumbuka idadi yawatu waliokuwa wanaandamana kumpinga Nkurunziza, hawa walikuwa wanatoka makabila yote ila baadae, jamaa ndio wakaingiza ukabila kama gia ya kupata support:
Rwanda haina faida yoyote ile kudestabilize Burundi, lakini what ever happens in Burundi have great impact to Rwanda:
Issue ya Hima empire ni myth ambayo haina hata single element of evidence:
Japo Burundi ilikuwa chini ya uongozi wa kitutsi,Rwandan Tutsis refugees waliokimbila Burundi miaka ya 60 walihangaika sana:
Huwezi kuwa na maendeleo wakati kwenye fikra zako bado unafikiria ukabila tu, hii kitu haina tija na ni ulimbukeni:
Wewe ndugu acha kujitoa ufahamu.Mambo ya 3rd term ya burundi yanamuhusu nini paka? Mbona yeye kajitangazia hati miliki ya Rwanda ni kiongozi gani wa afrika aliyemuuliza? Shame on you, mnabadilisha katiba ya nchi kwa ajili ya mtu mmoja tu, hivi ni wazima kweli nyinyi ? Kwa raia mmewafuata na bunduki ili waikubali referendum halafu mnakuwa wepesi kupanua mapua yenu kwa wenzenu tena wanaofuata katiba ya nchi zao. Katika 3rd term ya Nkurunziza, ni paka aliyekuwa wa kwanza kumtukana Nkurunziza na hadi leo ni huyohuyo tu na ninyi vibaraka wake mnaoendelea kuzoza ! Jamani, mambo ya Burundi waachieni wenyewe kama vile dunia ilivyomwachia mfalme paka atawale hadi atakapozimia.
 
Back
Top Bottom