Acha matusi wewe pimbi ! Unatakiwa kujibu hoja sio kuleta matusi. Chizi ni wewe na rais wako paka mnaopenda kuona africa haina amani. Kuna uchizi kuzidi huo wenu wa kuvamia nchi huru ya Burundi na kusababisha ukosefu wa usalama Bujumbura. Uzuri tu ni kwamba cndd-fdd wapo imara na wanawashughulikia ipasavyo. Mkuu, unaijua hima empire ? Au unaropokaropoka tu? Ukweli tutauweka wazi h?ta kama ninyi ni mabingwa wa propaganda. Huwezi kushindana na ukweli kamwe ndio maana badala ya kujibu hoja unatukana.
Vita ni yenu na acha kumsingizia Kagame,na akili yako ya Hima empire ni muendelezo wa uchizi wako tuu,
AU wanakuja vipi hapo?