Burundi nao waitosa Tanzania!

Burundi nao waitosa Tanzania!

Kuna watu umu walisema sisi tujitoe EAC tutaungana na Burundi.nawasubiri mje apa kuchangia

tanzania haikuwa na mpango wowote wa kuungana na burundi!!!tanzania tunaegemea sadc zaidi na burundi siyo memba!!!huu umoja wa eac wanaotaka kuanzisha uta fail tu siyo kisiasa tu hata kiuchumi,haiwezekani nchi yenye uchumi wa kati kama kenya ukajiunga kisiasa na kiuchumi na nchi ambayo ni poverty stricken kama burundi,unajua juzi juzi chancellor wa german alitoa comment kwamba nchi kama greece,ureno,bulgaria etc hazikupaswa kuwa eu!!!ilikuwa makosa kuziingiza unajua kwanini zimekuwa parasite na zinaishi kwa handouts kutoka ujeremani na france!!!!mwisho kama wewe ni m tz na unapenda hii federation unaonaje ukihamia burundi ili ufaidike na wewe kiuchumi!!!!
 
Hizi ndoa za mkeka zina matatizo yake, sijafahamu utafiti wa kina uliofanywa nao zaidi ya kufikiria msukumo tu wa kiitifaki kutokana na wimbi la Tanzania kujitangaza katika anga za mataifa mbalimbali duniani na kuonekana kukubalika na kuvutia viongozi mbalimbali kuitembelea.

Kuna nchi kama Uingereza, na pengine hata Uswizi hazikujihusisha kwa undani katika shirikisho la Ulaya, hata hivyo pamoja na kugomea kuingia katika sarafu ya Ulaya na kuruhusu tu mzunguko wa sarafu hiyo katika nchi, bado sijaona kuathirika na bado inaonekana kiuchumi kuendelea kutengamaa.

Kwa vile Tanzania ni mwanachama wa nchi za ushirikiano wa kiuchumi nchi za kusini mwa Afrika, sioni haja ya kuhangaika na ndo ya mkeka ya hawa Museveni, Kenyata Wanyarwanda. Tuwaache waendelee na yao, ipo siku watakapokuja kugutuka kuingia kichwakichwa ndipo wakapofahamu kwa nini Tanzania tumekuwa muhimu kwao na kwamba uzoefu katika masuala ya shirikisho baina ya nchi na nchi si kama kukaribisha jirani wakutanapo kwenye kilabu cha pombe kukaa meza moja, ni mambo mazito yanayohitaji uchambuzi, utafiti na kupima kwa kina vinginevyo ni kumnufaisha fulani ambaye ameshindwa kutupa kete kwa Mtanzania aliye makini na kuhitaji muda wa kupima na kutafakari kabla ya kuchukua hatua.

Tanzania kuna kila la kujivunia na nyota inaendelea kumulika kwani tukituliza kichwa kuna kila dalili ya kuwa taifa la viwanda tokana na utajiri wa chuma huko wilayani Ludewa, chuma ambacho pia ni moja ya nguzo kubwa katika uundwaji wa viwanda vikubwa. Vigumu kuchukua chuma kukisafirisha nje ni ghali bora kujenga viwanda nchini na hivyo kulinufaisha taifa kiuchumi. Tuwaache waendelee na ndoa ya mkeka, ipo siku watajua na kurudi wenyewe kuanzia njia za vichochoro kwa aibu kabla hawajapiga hodi mlangoni.
Ningekuunga mkono endapo tungekuwa na utawala bora. Nchi yetu inayoendeshwa na vichwa vya watu binafsi tunajidanganya. Madini tumegawa, misitu tunakata ;bahari tunaua mazalia ya samaki ili tuagize china ,utalii tunaua kwa kuua wanyama, kuchimba madini na eti kujenga barabara kwa kisingizio cha Maendeleo. Kama uchumi wetu unamilikiwa na wageni nasi tunaagizwa kuanzisha viwanda vya juisi na matunda na elimu inayosisitiza kuzalisha ziro. Iko kazi, tena nchi maskini sana duniani?
 
tanzania haikuwa na mpango wowote wa kuungana na burundi!!!tanzania tunaegemea sadc zaidi na burundi siyo memba!!!huu umoja wa eac wanaotaka kuanzisha uta fail tu siyo kisiasa tu hata kiuchumi,haiwezekani nchi yenye uchumi wa kati kama kenya ukajiunga kisiasa na kiuchumi na nchi ambayo ni poverty stricken kama burundi,unajua juzi juzi chancellor wa german alitoa comment kwamba nchi kama greece,ureno,bulgaria etc hazikupaswa kuwa eu!!!ilikuwa makosa kuziingiza unajua kwanini zimekuwa parasite na zinaishi kwa handouts kutoka ujeremani na france!!!!mwisho kama wewe ni m tz na unapenda hii federation unaonaje ukihamia burundi ili ufaidike na wewe kiuchumi!!!!
Tanzania inajitegeme? Du! Mnauza nini sadc?
 
Kikwete apunguze umbea kwa mataifa makubwa! Kutumika tumika tu. Majirani wanatuchukia kwa sababu hiyo

Hujui unaloliongea wewe! Kujitenga kwao ni kwa vile TZ ilikataa ardhi isiwekwe kwenye shirikisho, hivyo jamaa wakakasirika! Pia TZ tulitaka tuende taratibu kufikia shirikisho la kisiasa! Wenzetu wakakasirika! Kwenye hilo shirikisho kuna wenye ndoto za kuwa marais wa kwanza wa shirikisho. Sasa hapo kuna watu wataelewana? Hivyo wa-TZ tusiwe mamburula kushabikia upuuzi wa majirani, wao waende tu!
 
Ndugu zangu forget about this ghost called EAC. Mimi naona SADC inatosha. Ni nchi 15 zote zenye utashi na ushawishi mkubwa. Pia hata integration plan iko poa kabisa. Sio hii EAC wanataka kila kitu kiishe ndani ya miezi miwili...busy for nothing. Below is the integration milestone ya SADC.

SADC INTEGRATION MILESTONE
1.4_Integration_Milestones.jpg

Southern African Development Community :: Integration Milestones
 
murutongore........hizi zao nin tabia za msichana mwenye hajavunja ungo!...SA watawamaliza (SA makes all economic decisions kwa SADC!) China imeingia and i hear wanakuja with everything (as investors they are supposed to atleast boost local economy) hata mpishi wa chai ni mchina! aaaargh! now Obama wants a piece ....where there is keen western interest chungeni! dont be fooled..TZ maybe ver rich and so is Nigeria with oil, Congo with minerals, etc mmm...my brothers msidanganyike ..tanganyika na zinj zahitaji warwanda, waganda warundi na wakenya!
Muthaisu,

..mimi sielewi kwanini Wakenya hampendi Tanzania ifanye biashara na SA.

..Kenya ilikuwa inafanya biashara na APARTHEID SOUTH AFRICA, sisi wa-Tanzania tulikataa, leo South Africa imekuwa huru hamtaki tufanye biashara nao.

..The truth is Tanzania is trading more with Kenya than with South Africa. Kwa hiyo there is no need kwa Kenya kuwa intimidated na mahusiano ya Tanzania na South Africa.

..Zaidi, Tanzania inapaka na nchi[zambia,malawi,mozambique,drc] 4 to the west and south ambazo ni wanachama wa SADC. Hivi Kenya mlitegemea hatutakuwa na mahusianao na majirani zetu wengine? When did u hear Tanzania complaining kwamba Kenya iko more interested na Ethiopia, Somalia, au South Sudan?

NB:

..Tanzania absorbs 5.5% of Kenyas exports, Uganda absorbs 9.7%, Rwanda accounts for 2.4%.

..On the other hand, Tanzania account for 2.37% of Kenyas imports, Uganda 1.77%, Rwanda 0.07%.

..Watanzania tuna msemo wetu, "mwenye macho haambiwi ona."

source: The Observatory of Economic Complexity :: Kenya Exports, Imports and Trade Partners

cc Manyerere Jackton, Sikonge, Ruzibiza, Mag3
 
Last edited by a moderator:
candid
Jitafakari na rudi tena. Hili sijambo si la kupuuza, kuna jambo hapa kama taifa hatunabudi kulitafakari kwa kina.

Candid umesema ukweli
mimi sioni sababu ya kuhangaika na hili shirikisho
Mfano mwingine mzuri ni Norway haipo kwenye shirikisho la nchi za ulaya
wanatumia sarafu yao wenyewe na uchumi wao uko imara sana
shirikisho la nchi za kusini inatosha waache hao wanaoitaka ardhi yetu kwa vitisho watapetape tuu
 
Last edited by a moderator:
Sasa naelewa kwa nini Afrika haitakuja kuungana. Tanzania tunajiona ni mshirika muhimu katika EAC kwamba bila sisi umoja huu si lolote. Waliosalia nao wanatuona sisi si chochote kwamba EAC inawezakana bila Tanzania. Hapo hapo Tanzania inataka ikimbilie SADC. Mwisho wa siku tunakwenda kukutana AU na visasi vyetu vya kikanda vikiwa vibichi. Unategemea nini hapo? AU ni ndoto ya mchana ambayo haitakuja kutimia.
 
Muungano ni eneo, idadi ya watu au madaraka?
Kama ni eneo na idadi ya watu, mbona Tanzania na sawa na jumuiya ya nchi Uganda, Kenya, Burundi na Rwanda.
Sisi tayari ni Jumuiya wa Watu wa Tanzania. Acha na wao waanzishe jumuiya ya Wahima au EAC, vyovyote watakavyoiita.
Lakini tuwe makini sana na hawa watu kwani mambo yanavyokwenda siyo kwa lengo zuri kwa Tanzania.
 
Watanzania wala hatuna cha kuogopa na hiyo ndoa yao ya mkeka. Kwanza kwa mujibu wa World Economic Report 2013,Tanzania inafanya biashara kubwa zaidi na nchi za SADC kuliko inavyofanya na nchi za EAC. Hao tutawaheshimu tu kama majirani lakini wasitutishe kiuchumi. Kwenye aldhi ndio wasahau kabisaaaa,kwanza toka lini watu wakashea aldhi hapa duniani!
 
Muthaisu,

..mimi sielewi kwanini Wakenya hampendi Tanzania ifanye biashara na SA.

..Kenya ilikuwa inafanya biashara na APARTHEID SOUTH AFRICA, sisi wa-Tanzania tulikataa, leo South Africa imekuwa huru hamtaki tufanye biashara nao.

..The truth is Tanzania is trading more with Kenya than with South Africa. Kwa hiyo there is no need kwa Kenya kuwa intimidated na mahusiano ya Tanzania na South Africa.

..Zaidi, Tanzania inapaka na nchi[zambia,malawi,mozambique,drc] 4 to the west and south ambazo ni wanachama wa SADC. Hivi Kenya mlitegemea hatutakuwa na mahusianao na majirani zetu wengine? When did u hear Tanzania complaining kwamba Kenya iko more interested na Ethiopia, Somalia, au South Sudan?

NB:

..Tanzania absorbs 5.5% of Kenyas exports, Uganda absorbs 9.7%, Rwanda accounts for 2.4%.

..On the other hand, Tanzania account for 2.37% of Kenyas imports, Uganda 1.77%, Rwanda 0.07%.

..Watanzania tuna msemo wetu, "mwenye macho haambiwi ona."

source: The Observatory of Economic Complexity :: Kenya Exports, Imports and Trade Partners

cc Manyerere Jackton, Sikonge, Ruzibiza, Mag3

ok....thats wow!...keep it up guys
 
Kwani alifanya nini zaidi ya kukenua meno Uganda kwenye mkutano. Na sasa mpo mnalia na illegal immigrants wenu. We will expel all of them, they have been living in our for decades illegally with their animals; something not possible in your country!

You have expelled all of them now what? Anything changed in your life? Did you get any richer? Did you get more oxygen than what you were getting before? Did life get any better for you? Noooooo. You are still the same poor soul that you are and actually poorer for hating.
 
Watanzania wala hatuna cha kuogopa na hiyo ndoa yao ya mkeka. Kwanza kwa mujibu wa World Economic Report 2013,Tanzania inafanya biashara kubwa zaidi na nchi za SADC kuliko inavyofanya na nchi za EAC. Hao tutawaheshimu tu kama majirani lakini wasitutishe kiuchumi. Kwenye aldhi ndio wasahau kabisaaaa,kwanza toka lini watu wakashea aldhi hapa duniani!

Tunatakiwa kuwa nao makini sana hasa Kagame. Alichokisema lazima kuendelea kukifanyia kazi.
 
Sasa naelewa kwa nini Afrika haitakuja kuungana. Tanzania tunajiona ni mshirika muhimu katika EAC kwamba bila sisi umoja huu si lolote. Waliosalia nao wanatuona sisi si chochote kwamba EAC inawezakana bila Tanzania. Hapo hapo Tanzania inataka ikimbilie SADC. Mwisho wa siku tunakwenda kukutana AU na visasi vyetu vya kikanda vikiwa vibichi. Unategemea nini hapo? AU ni ndoto ya mchana ambayo haitakuja kutimia.

itawezekana siku nyerere na wakina nkrumah wakifufuka...nchi waliacha wamezigawa kwa .....nitajikuta nimetukana....naishia hapa....
 
Tunatakiwa kuwa nao makini sana hasa Kagame. Alichokisema lazima kuendelea kukifanyia kazi.

kagame tena?jamani nimeshasema watz tumewekewa maneno 3 ili tusione mambo yanayotendeka huku nyuma ya pazia maneno yenyewe ni Rwanda,Kagame,M23......sipendi kuyasikia tena please....
 
Hili ni shirikisho la kuku, bundi, kunguru na mwewe. Msingi mkuu wa shirikisho hili ni umimi na urafiki-mashaka. Nikiangalia sura zinazo jifanya kuungana nacheka kimoyomoyo kwa hofu wasije nisikia wakashtuka.
 
Kinachonishangaza mie ni uwezo wa kulogic maambo, kweli siamini kwa wasomi wa EAC wanavyopeleka mambo. Hawa wanasema political federation na Somalia, S.Sudan.

-Hivi tumejiuliza, hivi nini kimewashinda Wasomali wenyewe wanaoongea lugha moja, tamaduni moja, muonekano mmoja kuwa tu na federal gov ? Leo kweli ndo unakuja kuwatishia watu eti tuna ungana na wasomali kwa political fed?

-S.Sudan wamentegana na ndugu zao wa damu, ndugu zao wa ukweli leo wataweza je kutengeza federation wa mbali, hawa nao tunatishwa nao kuanzisha political fed nao?
Ingekuwa ni kwa uchumi ndo tz imegoma hapo kungekuwa na sababu, lakini hili la fed, kuna ni kulitosea mbali kabisa.
 
You have expelled all of them now what? Anything changed in your life? Did you get any richer? Did you get more oxygen than what you were getting before? Did life get any better for you? Noooooo. You are still the same poor soul that you are and actually poorer for hating.
Go back to your poor countries, why u'rve made tz u'r home while the country belongs not to U. We dont need U at all, coz u've nothing new to share with us. EAC the community for poor and blind. U all have no land, u've been dreaming to have land in tz. Have to know that no even an inch of land will be given to u. We love our country tz, why u hate yours you poor thinker.
 
Hakuna Mtu Makini atakayekubali kushirikiana na Serikali ya Kisanii ya CCM.

kati ya michango yote nimeona wako tu, eti kuna mtu anajisifu kujulikana kwetu kwenye anga za kimataifa ndo maana wanatuonea husuda anajua tumejulikanaje??? Bakuli ndo limefanya tujulikane sasa kuna cha kujivunia.
 
Back
Top Bottom