Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,328
Kuna watu umu walisema sisi tujitoe EAC tutaungana na Burundi.nawasubiri mje apa kuchangia
Candid Scope,
Siyo kweli hayo unayoyasema. Muingereza kwa sasa anaporomoka si kawaida. Hata huduma zao za kulisha watu bure na kuwapa nyumba sasa wameanza kuzibana. Kiuchumi ameshazidiwa na Brazil na alipotaka kujitoa EU, China na USA walimwambia hata asiote kufanya hivyo.
Kuhusu Swis, hata wao wamejiingiza kimya kimya kwenye Schengen maana walikuwa wanakosa pesa kibao. Kujiondoa kwa Rwanda, Burundi na Uganda, kutakuwa na madhara makubwa sana kwetu na hapo mtu asikudanganye. Labda na sisi tuje tujifanye kawa Waswizi kwa kujiingiza kimya kimya kwenye Schengen na Uganda, Rwanda na Burundi huko mbeleni maana itakuwa na faida kwao na sisi.
Anyway, siasa za Africa zinabadilika badilika kutokana na Rais. Kesho wakija Marais wengine, watagombana na watarudisha ndoa na Tanzania. Inabidi katiba zetu kwanza zibadilike na nchi iwe na msimamo na siyo RAIS.
Kuna watu umu walisema sisi tujitoe EAC tutaungana na Burundi.nawasubiri mje apa kuchangia
[FONT=century
gothic]Nyani Mkuu siku zote haoni.....Chezeya Kiongozi DHAIFU na
Serikali DHAIFU.[/FONT]
Kikwete apunguze umbea kwa mataifa makubwa! Kutumika tumika tu. Majirani wanatuchukia kwa sababu hiyo
Kuna wakati Kikwete alikuwa Marekani, akazungumzia kuhusu matatizo ya Kenya, serikali ya Kibaki ikachukia kuwa kwanini kana alikuwa na kitu cha kuzungumza kuhusu matatizo ya Kenya asiongee na viongozi wa Kenya bali akasubiri akaenda Marekani na kuongea na wamarekani kuhusu matatizo ya Kenya. Ndio ntindo wake.
Sio majirani tuu wanatuonea jealous hata mataifa ya nje
Utajiri ulioko Tz unatisha
Inahitaji tuamke tuu watz tutumie hizi fursa
hao majirani wanatapatapa tuu hawana lolote
Hatuhitani ndo za mkeka!!!!!!!