Burundi na Tanzania kuboresha usafirishaji

Burundi na Tanzania kuboresha usafirishaji

Bukyanagandi

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2009
Posts
11,626
Reaction score
18,228
Waziri SIX yupo ziarani Burundi kwa mazungumzo na Viongozi wa nchi hiyo yenye nmadhumuni ya kuboresha usafirishaji wa barabara kati ya nchi zetu mbili, vile vile kuna mpango wa kujenge reli ya kupitia Burundi kwenda DRC itikotokea Tanzania. Binafsi nampongeza Waziri Sita na Serikali yetu kwa kubuni mradi ambao utanufaisha nchi zote husika, ni matumaini yangu kwamba ujenzi wa RELI unaweza kutekelezwa fasta kuliko wa wenzetu.
 
Punguza viloba na bange...waziri Sitta anakujaje hapa?
 
Hayo maazimio ni ya muda mrefu sana lakini utekelezaji wake will take forever!
 
Lowassa anang'oa reli kule Arusha six analeta hadithi za paukwa pakawa kujenga reli labda si tanzania
 
Mwaka 3000 mbona ni karibu sana .. Ongeza 0 moja.

We kijana ,utaniua kwa kicheko!!!

Eti aongeze ngapi...?

Ukisikia aibu ya kwa mtu mzima.. ndiyo hiyo.

Hiyo yote ni kutapatapa na kujipendekeza tu kwa watawala wetu.Sababu kubwa ya kutengwa na wenzetu zinafahamika. Na chanzo cha sababu zote kimo ndani ya uwezo wetu.Tatizo ni hakuna anayejitolea kuzifanyia kazi.

Wakati wenzetu wametutenga kutokana na sisi kuingia mguu mmoja ndani na mwingine nje kwa sababu ya mapungufu katika elimu yetu ambayo matokeo yake ni kupwaya ktk soko la ajira,watawala wanazidi kupunguza viwango vya ufaulu ktk masomo! This is insane.

Hivi,Burundi na DRC wao ndio wanapenda mambumbumbu?

Hebu tuweni serious basi hata kidogo jamani.
 
Waziri SIX yupo ziarani Burundi kwa mazungumzo na Viongozi wa nchi hiyo yenye nmadhumuni ya kuboresha usafirishaji wa barabara kati ya nchi zetu mbili, vile vile kuna mpango wa kujenge reli ya kupitia Burundi kwenda DRC itikotokea Tanzania. Binafsi nampongeza Waziri Sita na Serikali yetu kwa kubuni mradi ambao utanufaisha nchi zote husika, ni matumaini yangu kwamba ujenzi wa RELI unaweza kutekelezwa fasta kuliko wa wenzetu.
Wamewaalika Rwanda, Kenya na Uganda kwenye huo mkutano wao? Je wana mpango gani wa kuwashirikisha kwenye huo mkakati wa kuimarisha reli kwenda DRC kupitia Burundi au ni yale mambo ya mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu? Kama tulikerwa na uwepo wa "coalition of the willing" basi hatuna budi kuepuka mahusiano na nchi jirani ya Burundi yanayofanana na yale ya wana coalition.
 
Wamewaalika Rwanda, Kenya na Uganda kwenye huo mkutano wao? Je wana mpango gani wa kuwashirikisha kwenye huo mkakati wa kuimarisha reli kwenda DRC kupitia Burundi au ni yale mambo ya mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu? Kama tulikerwa na uwepo wa "coalition of the willing" basi hatuna budi kuepuka mahusiano na nchi jirani ya Burundi yanayofanana na yale ya wana coalition.
Mkuu kumbuka Tanzania na Burundi ndio nchi zinazo tengwa na wenzetu, sasa kuna tatizo gani kama Burundi, Tanzania na Congo DRC wakishirikiana kujenga Reli ya kusafirisha mizigo na abiria kutoka/kwenda DRC mpaka kwenye Bandari ya Bwagamoyo DSM. Serikali za nchi husika zikicheza karata zao vizuri wanaweza kuwapata wabia watakao kubali kushare costs za ujenzi na baadae kuendesha reli kwa ufanisi wakiwa na imani kwamba R.O.I haitachukua muda mrefu, kutokana na utajiri mkubwa wa maliasili za Congo na Tanzania.
 
wanogopa jamaa watahama bandari
Hapana mkuu, hawaogopi kitu ni kutaka kuzidiana KETE tu, and 'am telling you at the end of the day Tanzania, Burundi na Congo DRC watahibuka kidedea katika ushundani huu. Na kumbuka Kenya ili-panick ilipo pata habari kwamba Wachina watajenga bandari kubwa pale Bwagamoyo ndio wakaja na mipango yao fasta fasta ili waweze kuhipiku Tanzania, ni mambo ya ushindani wa Bandari si kitu kingine mkuu.
 
3Ks.....wametushutua kidogo kua huu sio muda wa Siasa bali ACTIONS
 
Mkuu kumbuka Tanzania na Burundi ndio nchi zinazo tengwa na wenzetu, sasa kuna tatizo gani kama Burundi, Tanzania na Congo DRC wakishirikiana kujenga Reli ya kusafirisha mizigo na abiria kutoka/kwenda DRC mpaka kwenye Bandari ya Bwagamoyo DSM. Serikali za nchi husika zikicheza karata zao vizuri wanaweza kuwapata wabia watakao kubali kushare costs za ujenzi na baadae kuendesha reli kwa ufanisi wakiwa na imani kwamba R.O.I haitachukua muda mrefu, kutokana na utajiri mkubwa wa maliasili za Congo na Tanzania.
Kama na sisi tumeamua kucheza mchezo kama unaochezwa na Rwanda, Kenya nd Uganda basi tuache kulialia tuunde "coalition of the willing" nyingine tusonge mbele. Lakini hii ya kulialia wakati na sisi tunafanya yaleyale ni unafiki tu ambao hautatufikisha popote.
 
Kama na sisi tumeamua kucheza mchezo kama unaochezwa na Rwanda, Kenya nd Uganda basi tuache kulialia tuunde "coalition of the willing" nyingine tusonge mbele. Lakini hii ya kulialia wakati na sisi tunafanya yaleyale ni unafiki tu ambao hautatufikisha popote.

U took the words right out of my mouth
 
Waziri SIX yupo ziarani Burundi kwa mazungumzo na Viongozi wa nchi hiyo yenye nmadhumuni ya kuboresha usafirishaji wa barabara kati ya nchi zetu mbili, vile vile kuna mpango wa kujenge reli ya kupitia Burundi kwenda DRC itikotokea Tanzania. Binafsi nampongeza Waziri Sita na Serikali yetu kwa kubuni mradi ambao utanufaisha nchi zote husika, ni matumaini yangu kwamba ujenzi wa RELI unaweza kutekelezwa fasta kuliko wa wenzetu.

Well, this is a welcome development. Do the Southern corridor and we do the Northern one. Once complete we meet to share how all these will benefit the whole region.
 
Waziri SIX yupo
ziarani Burundi kwa mazungumzo na Viongozi wa nchi hiyo yenye nmadhumuni
ya kuboresha usafirishaji wa barabara kati ya nchi zetu mbili, vile
vile kuna mpango wa kujenge reli ya kupitia Burundi kwenda DRC
itikotokea Tanzania. Binafsi nampongeza Waziri Sita na Serikali yetu kwa
kubuni mradi ambao utanufaisha nchi zote husika, ni matumaini yangu
kwamba ujenzi wa RELI unaweza kutekelezwa fasta kuliko wa
wenzetu.

gud Tanzania i longed for so long to c dis happen
 
Back
Top Bottom