Buriani Saidi Alli Masimango, tunakukumbuka Daima

Buriani Saidi Alli Masimango, tunakukumbuka Daima

Hakika sisi ni wa Mwenyezimungu na hakika kwake ni wenye kurejea. Nilikutana na Marehemu mara moja pale NSSF mwaka 2005 nilimpitishia vitabu vya mambo ya IT nilivyotoka navyo ughaibuni kwa rafiki yake. Kumbe ni mtu mwenye historia yake. Mwenyezimungu amweke kwenye wema wa daraja la juu huko alipo. Aamin.
 
Jamaa huyu alioa mtoto wa shule na kumuweka ndani; alivunja sheria na angeweza kwenda Lupango!! R.I.P masimango ulimtunzia siri Barubaru!!!

Ni kweli kabisa ingeleta mush'kira kidogo kama ingejulikana NA NDIO MAANA TULIFANYA NDOA YA SIRI.

Lakin cha kufurahisha huyo aliyeolewa akiwa mwanafunzi sasa ndio gwiji la Sharia na uandishi wa habari . Je huoni kama ni mafanikio hayo?
 
Ni kweli kabisa ingeleta mush'kira kidogo kama ingejulikana NA NDIO MAANA TULIFANYA NDOA YA SIRI.

Lakin cha kufurahisha huyo aliyeolewa akiwa mwanafunzi sasa ndio gwiji la Sharia na uandishi wa habari . Je huoni kama ni mafanikio hayo?

Kwenda Lupango sio mushkiri kidogo ; pengine maisha yako yangeharibika kabisa!! Mshukuru marehemu lakini kumbuka sio mara zote utavunja sheria na kupona!!
 
Kwenda Lupango sio mushkiri kidogo ; pengine maisha yako yangeharibika kabisa!! Mshukuru marehemu lakini kumbuka sio mara zote utavunja sheria na kupona!!

Nafikiri hilo liingizwe katika katiba yenu mpya ili kulinda haki za wanawake kwani wengi siku hizi wanazini ovyo tu sababu sharia inawabana wasiolewe ili kukidhi haja zao za kibin"Adam.

 
RIP Masimango, Mimi nilimfahamu kupitia eThinkTank - ETT alikuwa mchangiaji mzuri sana. Lakini cha kujifunza hapa ni kuwa Avartar isikufanye u-conclude kitu kama mnavyomuona mheshimiwa Barubaru
 
Back
Top Bottom