Bure elimu au elimu bure

ambanjani

Member
Jul 19, 2015
6
1
BURE ELIMU AU ELIMU BURE, jaman juz nimesikia itv, taarifa kutoka mbinga mkoani Ruvuma kuwa kuna shule mwalimu mmoja wanafunzi200 hii hatar cna kwa elimu yetu, wazir wa elimu hvyo ndvyo vitu vya kufanyia kaz na co kuanza kujadili tutumie gpa au division. Mi ningefurahi kama ungeanza na afisa elimu wilaya mbinga mana naamin anafahamu hlo tatizo. Fukuza weka anayewajbka isije ikawa bure elimu badala ya elimu bure
 
Mi nawashangaa mnaolalamika mimi jana nimepita shule mbili tofuti nimekuta watoto ni wengi mpaka wanafundishiwa uwanjani na filimbi na mwalimu wao.

Na shule nyingine nilikuta ina vyumba sita madawati hamsini darasa la awali lina wanafunzi 1047 na nikajulishwa kuwa hao ni nusu kuna nusu nyingine hawajakamilisha sare hivyo bado wapo nyumbani.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom