BUNGENI: Waziri Ghasia awasilisha Bajeti yake; mishahara yapanda

miyeyusho tuu km kuongeza watawaongezea shs 5000 tu maana kinachoonekana cha muhimu sana kwenye hotuba za hawa mawaziri ni kusifiana na kupongezana hata ambapo hapastahili pongezi. sioni cha maana anacho present hapo bungeni.
Wafanyakazi/watumishi mishahara juu!
 
huyu wasila anayoyasoma sijui yanahusiana vipi na utumishi!
 
Nimesikia akisema bajeti ya mishahara mwaka huu inaongezeka 40% ukilinganisha na bajeti iliyopita....ila sielewi sasa ndo increment per individual ama ndo kitu gani hicho
 
Mkuu hiyo %imepanda kwa mfanyakazi husika au fungu zima la mshahara ndo limepanda kwa 40.2%?.
Fungu la mshahara ni trilion 3.2 feza za kitanzania. Ukipeleka ktk asilimia ni sawa na 40.2%
 
kima cha chini 135,000/= ktk ongezeko la 40.2% ni sawa na 189,000/=
 
Huyu wasila anaomba mshahara kwa watumishi ya tume mahela mengi kweli!
 
Nimesikia akisema bajeti ya mishahara mwaka huu inaongezeka 40% ukilinganisha na bajeti iliyopita....ila sielewi sasa ndo increment per individual ama ndo kitu gani hicho
Ndio hivyo bwana!
 
Mi nilijua tu kuwa salary incriment ni ndoto, ila tunasubiri kina Magaya wawashe moto. Huku mtaani tayari kila kitu kimepanda bei, hata wakiongeza mshahara hakuna tija labda wapunguze bei ya mafuta ndio angalau maisha yaweza shuka ila kwa uzoefu wangu Tz kupanda kwa bei za bidhaa ni mara moja ila kushuka hakuna kabisaaa.
 
Unaambiwa imekula kwenu watumishi wa umma unataka update gani tena, hebu piga kazi huko mkiambiwa ccm kwishnei hamsikii kazi kushabiakia ccm sasa kula ulichopanda
Teh! Teh! Teh! Acha kumtisha mwenzio!
 
Mi nilijua tu kuwa salary incriment ni ndoto, ila tunasubiri kina Magaya wawashe moto. Huku mtaani tayari kila kitu kimepanda bei, hata wakiongeza mshahara hakuna tija labda wapunguze bei ya mafuta ndio angalau maisha yaweza shuka ila kwa uzoefu wangu Tz kupanda kwa bei za bidhaa ni mara moja ila kushuka hakuna kabisaaa.
Duh! Tz kuna mambo ya ajabu, vitu vinapanda bei kila kukicha!
 
Bodi ya Mishahara na tija kwa watumishi na umma kuanza kazi 2011/2012
 
Back
Top Bottom