Huku madongo kuinama ndio Symbion wamechukua chao, TBC Taifa nayo ndio haikamati! Tuletee vitu ndugu!sijui mshahara utapanda? Yetu macho!
pole sana mkuu! Kama kawaida huyu mama anaanza kwa kusifia chama na mbwembwe nyingi!
Kweli asitangaze maana wafanyakazi watapandishiwa bei za vitu ikiwemo pango!hata kama ipo sidhani kama atataja maana atasema akitaja italeta mtafaruku mtaani
sijui mshahara utapanda? Yetu macho!
changa la macho hilo. hakuna nyongeza yeyote ile watu wataendelea kuumia tu kila kitu bei juuamemaliza bila kusikia nyongeza ya mshahara imekula kwa watumishi wa umma