Bungeni tumepeleka vichaa, wendawazimu au mateja?

Bungeni tumepeleka vichaa, wendawazimu au mateja?

spika na naibu spika wang'olewe haraka wanaliharibu bunge kwa kuwa acha wabunge wa ccm wakipolomoa matusi mazito kama ---- you......mbwa...n.k huku chadema watoa hoja kumkosoa rais wanaambiwa wana muhadaa na kumdhihaki rais hovyo kabisa hawa maspika watolewe mara moja
 
Wanaoharibu bunge ni Makinda na ****** kutokana na udhaifu wao aidha wa kutokujua kanuni au kuzipindisha kwa maslahi ya waliowaweka pale...
 
Ni hadi pale CCM watakapotambua demokrasia ya kweli...
Wamefanya kama siasa ni mashindano...
 
Makinda na nduGAY wafukuzwe kazi haraka, Samweli Sitta arudishiwe nafasi yake aliyoporwa na Jakaya Kikwete. Kikwete aliwaweka hao wachovu ili kuficha udhaifu wake.
 
pale uonevu na ubabe wa spika na naibu wake na ubabe wao kwa chadema utakapoachwa.
 
Unajua matatizo yote yanatokea kwa kuwa serikalin yetu imevaa miwan ya mbao,mpaka CCM waondolewe ndo matatizo yote yataisha
 
mimi sijaona kama bunge limekosa heshima naona wabunge wanajitahidi kuwa alisi sio kama walivyozoea ccm wabunge wakwenda kulala bungeni. sasa hivi kuna kuhojiwa kuhojiana na ukiongea uongo kushushuliwa. haya ni mabadiliko wanayotakiwa ccm kuyakubali.
 
Bunge livunjwe tuanze upya. Siasa za matusi ndo zitakoma. Zitumike kanuni za bunge na si kanuni za maspika. Maamuzi ya wanaokubali waseme ndiooo yaishe.
 
Kama kusema Wananchi na Watanzania wamesema sana,
Viongozi wametoka nje ya Mstari, Katiba na Sheria za Nchi zinakiukwa kwa makusudi au kwa Bati Baya,
My Take: Tumuombe Mungu atuepushe na Balaa aka Pigo analotaka kutupiga sisi Wananchi aka Watanzania.


Salamu jf,
nini kifanyike kuinusuru hali inayoendelea bungeni? Tupeni ushauri hapa ili ndugai na wenzake wakipita hapa wapate kitu.
 
Salamu jf,
nini kifanyike kuinusuru hali inayoendelea bungeni? Tupeni ushauri hapa ili ndugai na wenzake wakipita hapa wapate kitu.

serikali hii ya magamba ingekuwa inasikiliza na kuufanyia kazi ushauri mzuri wa watu hakika nchi hii tungekuwa mbali sana kimaendeleo,sidhani hata tukilishauri bunge letu hili linaweza kuwa standard
 
Salamu jf,
nini kifanyike kuinusuru hali inayoendelea bungeni? Tupeni ushauri hapa ili ndugai na wenzake wakipita hapa wapate kitu.

serikali hii ya magamba ingekuwa inasikiliza na kuufanyia kazi ushauri mzuri wa watu hakika nchi hii tungekuwa mbali sana kimaendeleo,makinda na ndugai ni tatizo kwa bunge letu,let them go
 
spika asiegemee chama kimoja, ccm wakubali kukosolewa na wapinzani, ccm wajadili matatizo yanayo wakabili watz majmboni kwao, sio kujadil chadema tu
 
Salamu jf,
nini kifanyike kuinusuru hali inayoendelea bungeni? Tupeni ushauri hapa ili ndugai na wenzake wakipita hapa wapate kitu.


Ningekuwa mimi nina mamlaka ningelivunja Bunge ili wakajiulize wakirudi watakuwa na akili ya utulivu. Hivi tunawalipa watu waende kufanya vurugu bungeni wakati tuna matatizo lukuki?
 
Pengine pa kuanzia ni kuona namna bora ya kujibu hoja za mbunge pale anapokuwa amemaliza kuchangia... Maana naona tatizo ni kwamba mbunge akichangia anakuwa anelekeza mchango wake kwa mleta hoja ambaye ni serikali (Waziri/Wizara) hivyo ajibiwe hoja na dukuduku zake na Waziri/Wizara husika badala ya kila atakayefuata kuchangia kujifanya anajibu yale yaliyowasilishwa na mtangulizi wake katika kuchangia, hapo ndipo tatizo linaanzia.

Inakuwa ni mashambulizi ya one against one, nadhani si sahihi! Lakini jingine ni kwa wasimamizi (SPIKA, Naibu wake, n.k.) kuomba mwongozo wa Samwel Sitta awape busara zilizomwezesha kuendesha bunge lililojijengea heshima.., maana nahisi hawa wa sasa hivi wanatawaliwa sana na ukereketwa...,

Ni mtazamo wangu mwepesi tuu
 
bunge lichangiwe kwa lugha ya kingereza lakini kuwe na mtaalam wa kutafsiri lugha kwenda kiswahili ili watanzania wote tuelewe kinachoendelea......hahahah kuna wabunge hawatachangia hata kidogo.........na usipochangia haupewi posho......
 
Ni wazi Kwamba Bunge Letu sasa Limechoka, wabunge wameshajikatia tamaa masikini hawa, kuwasukumiza wabunge wetu hawa hasa wa Chama Tawala mpaka hiyo 2015, ni kuwaonea tu Na kuwalazimishia Zigo zito lililowashinda. Hata Kwenye mchezo wa Soka, wachezaji wakichoka hawaweza kupiga makelele TUMECHOKAAAA!! Bali ninyi mnaotazama soka mtawatambua tu Na kumshauri kocha awaengue.

Bunge hili limechoka mbaya, 72% ya wabunge Ni watoro wa vikao hivi Na wachache waliobaki wanabwatuka matusi ya nguoni kila siju, imagine mbunge mweshimiwa anadiriki kutamka mbele ya Wananchi wote wa Jamhuri ya Muungano Wa TANZANIA tusi "CAMMON F U C K YOU!!" (Mods tafadhali msiedit tusi hili ni HANSARD KAMILI YA BINGE LETU", ).. Bunge limeshajichokea tulinusuru Kwa kulivunja.

KATIBA ya JMT, ibara ya 90, haituzungumzii kabisa sisi wananchi tuliolisimika Bunge kuwa Na mandate ya kuliwajibisha. Michezo ya Bunge Na RAIS, RAIS Na Bunge ndiyo pekee inayoweza kulivunja Bunge lakini sisi raia tuliolisimika Bunge hatumo kabisa, sasa nauliza wadau, Bunge ndio hiloo limeshajichokea , RAIS wetu Kama mnavyomjua keshasinzia zake, Hana meno at all Kwa hali hii, tumebaki wenyewe, matusi kila kukicha, ubabe bungeni Live unazidi, Wabunge wamemeza mashine Za kuzalisha uongo.. TUTALIVUNJAJE BUNGE HILI!!??!?
 
Serukamba aongezewe idadi ya vipodozi vya kutumia.
 
Back
Top Bottom