Bungeni tumepeleka vichaa, wendawazimu au mateja?

Bungeni tumepeleka vichaa, wendawazimu au mateja?

Mtu asikudanganye UHUNI unaoendelea bungeni ni mkakati maalum wa wenye madaraka kujaribu kuharibu mijadala inayohusisha upimaji wa uwajibikaji wao. Kianchoendelea ni kudivert attention ya kujadili mambo nyeti badala yake matusi, miongozo, nidhamu na maadili. Hatukuwapeleka wabunge Dodoma kufanya vikao vya nidhamu na maadili na miongozo. Tuliwapeleka kujadili mambo nyeti ya kitaifa, kusimamia serikali na kuwasemea wananchi juu ya kero zinazowakabili ktk maeneo yao.
 
Kwa hiyo we ulitaka aingie mdomoni mwa Serukamba na Nkamia awazuie wasitukane? bado siamini kama udhaifu wa huyu mama ni sababu ya kuhalalisha matusi bungeni. ni watu wazima tu wameshindwa kujiheshimu.

yaaa ni ugoigoi wake kwani hao wahuni akina nkamia na genge lake wanajua hatowafanya kitu. ndo maana wanaropoka chochote
 
Mimi nashauri hawa wabunge wapimwe kwanza kama wamekunywa au kuvuta bangi kabla hawajaingia bungeni.Mtu kama Lema anajiibukia na kutupia Chama na Serikali kwamba waanzishi wa udini.Mtu kama huyu hayuko sawa

Unauhakika mkuu?
 
1. Bunge la Tanzania
2. Bunge la Ukraine
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    21.7 KB · Views: 82
  • image.jpg
    image.jpg
    39.8 KB · Views: 77
Back
Top Bottom