Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,631
- 164,745
Kila mtu alieangalia bunge siku ya leo bila shaka atakuwa akijiuliza maswali kuhusu mwenendo wa wabunge wetu hawa na kama kweli wanafahamu nini wajibu wao kwa wapiga kura wao.
Mimi najiuliza hawa wabunge wanatofauti gani na mateja au wapiga debe wa stand kwa kauli zao hizi za matusi ndani ya bunge?Hivi si bora hata kichaa kwasababu ni mgaonjwa wa akili ila hawa wabunge nao ni wagonjwa wa akii?Hivi wanamdhalilisha nani kama sio wao wenyewe,ndugu,jamaa,marafiki na familia zao?Hivi hawa wabunge wanastahili kuitwa waheshimiwa na wao kujiita waheshimiwa?Hawa wabunge kweli wanastahili kulipwa mamilioni ya shilingi kila mwisho wa mwezi kama mshahara na marupurupu kwa upuuzi huu?Hivi bunge limegeuka band ya kuimba taarabu(mipasho)!
Mimi nisema kama hali hii itaendelea mpaka 2015 basi tusishangea kuona idadi ya wapiga kura ikishuka kwa kiasi kikubwa katika uchaguzi mkuu ujao kwani ni nani atakuwa tayari kuendelea kupanga foleni kuchagua "mateja" na kuwapa ticket ya kwenda bungeni!
Leo hii nimeamini ile kauli ya naibu spika alieitoa katika mahojiana na mtangazaji mmoja kwenye TV station moja hapa nchini kuwa kuna wabunge wanavuta bangi!
Bunge hili ni janga la kitaifa pengine kuliko hata ukimwi!
Mwisho namshauri mh.Spika kesho, mara tu baada ya salaa ya kuliombea bunge, atoe kauli ya kuwaomba radhi watanzania wote kwa mwenendo mbovu wa bunge analoliongoza.
Mimi najiuliza hawa wabunge wanatofauti gani na mateja au wapiga debe wa stand kwa kauli zao hizi za matusi ndani ya bunge?Hivi si bora hata kichaa kwasababu ni mgaonjwa wa akili ila hawa wabunge nao ni wagonjwa wa akii?Hivi wanamdhalilisha nani kama sio wao wenyewe,ndugu,jamaa,marafiki na familia zao?Hivi hawa wabunge wanastahili kuitwa waheshimiwa na wao kujiita waheshimiwa?Hawa wabunge kweli wanastahili kulipwa mamilioni ya shilingi kila mwisho wa mwezi kama mshahara na marupurupu kwa upuuzi huu?Hivi bunge limegeuka band ya kuimba taarabu(mipasho)!
Mimi nisema kama hali hii itaendelea mpaka 2015 basi tusishangea kuona idadi ya wapiga kura ikishuka kwa kiasi kikubwa katika uchaguzi mkuu ujao kwani ni nani atakuwa tayari kuendelea kupanga foleni kuchagua "mateja" na kuwapa ticket ya kwenda bungeni!
Leo hii nimeamini ile kauli ya naibu spika alieitoa katika mahojiana na mtangazaji mmoja kwenye TV station moja hapa nchini kuwa kuna wabunge wanavuta bangi!
Bunge hili ni janga la kitaifa pengine kuliko hata ukimwi!
Mwisho namshauri mh.Spika kesho, mara tu baada ya salaa ya kuliombea bunge, atoe kauli ya kuwaomba radhi watanzania wote kwa mwenendo mbovu wa bunge analoliongoza.