MANGUNGO
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 1,536
- 354
Shibuda amesema kuna mabaya ya serekali na mazuri ya serekali,mabaya upinzani na mazuri ya upinzani,hivyo serekali inapochokonyoa upinzani na ndivyo upinza huchokonyoa serekali,amepongeza jeshi la mkoa wa shimiyu akaenda mbali zaidi akiwataka CCM ikubali kukosolewa kwamba wakisema mfalme ana minyoo wasizani kuwa mfalme kafedheheshwa bali anakumbushwa juu ya afya yake,akamea jeshi a polisi kupendelea ma DC,na kutaka kuboresha demokrasia na utawala bora,mwisho ana makinda kamsifia kuwa leo kaongea lugha nzuri na kwa hekima.