Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,153
tusubiri tuone serikali itachukua hatua gani kwa wahusika
Kama ndicho unachosubiri mkuu utangoja pengine mpaka Yesu arudi na lisitokee lolote,
Wengine mpaka leo unakaribia mwaka wa 4 tunasubiri Hosea wa Takukuru awajibishwe na Rais kama ilivyoshauriwa na kamati ya kina Mwakyembe.
We endelea na issue zako tu mkuu, silo la kusubiria hilo!!