Mohamedi Mtoi
R I P
- Dec 11, 2010
- 3,321
- 6,328
Hakuna hata mbunge mmoja wa Ccm ambae ameamka na kuzungumzia muswada bila kuongolea Chadema! Wamehamisha mjadala kutoka kwenye mkondo wake wa asili na kuituhumu Chadema kwa kila neno.
Hii ina maanisha nini kwa wabunge hawa wachangiaji?
Hii ina maanisha nini kwa wabunge hawa wachangiaji?