Bungeni: Ngonjera yaendelea! Wabunge waendeleza mipasho dhidi ya CHADEMA (Nov 17)

Status
Not open for further replies.
...Ila ile ya Wabunge wa Viti Maalum Chadema, mmh...

...Dada wa Tindu Lissu
...Mzazi Mwenza wa Dr.Slaa
...Mtoto wa Ndesamburo
...Mkwe wa Ndesamburo
...Ukigombea Uongozi wa juu unaambiwa Kiti kina wenyewe??

..Kwa haya kaifanya kazi ya ukada wa Chama chake vizuri sana japo jukwaa alilosemea halikuwa sahihi...
 
Jamani, tuongee ukweli,
Hivi huu mjadala unahusu Katiba au Chadema!
Shoga Lusinde katumia mda wooooote kuzungumzia Chadema na mambo ya viti maalum,
kny mswada kuna kipengele cha viti maalum?
Wanatupotezea muda na kodi zetu!

Hivi huyo babayake Lusinde ambaye nilimwona kipindi flani alikuwa Waziri wa uchukuzi miaka ya JKN tena alikuwa bright kweli, mbona mwanaye zezeta?

wamesogeza mda ili wajadili nini sasa, Mjadala uishe waitimishe kama ilivyo kwa kuupitisha then tupate ridhaa ya kuwafuata majumbani kwao (Ref. ya Lema - Arusha)
Kwakweli hawa wabunge wa CCM na CUF ccmB ni MBUMBUMBU bin Mashambenga!
 
CCM woooote ni mambumbu,inatakiwa ahojiwe huyo **** je ITV wana namba yake wameisave? Hawa wabunge wengine sijui wanawaokota wapi?
 
Jamani yule mwalimu wa viti maalum wa ccm ( mshashu ) aliongea kupigania ugali wake aendelee kuchaguliwa kwa mgongo wa viti maalum!!shame on her hata analysis hajui.

Hawa ccm wanapotesha ukweli cdm na watu wengine wanalalamikia utaratibu wa kukusanya na kuriport maoni ya watz kwamba kwa nini iwe ni kwa raisi tu mwanzo mpaka mwisho!

Tujiulize hv kwa nini raisi adharauliwe hv -kwa maoni yangu mi naona ni kwa sababu raisi wetu hajaonesha seriousness kwenye shida za wananchi zaidi ya kukaa kimya mpaka kwenye mambo muhimu yanayowakabili watz thats why watu wa loose confidence kwake!!
 
...Ila ile ya Wabunge wa Viti Maalum Chadema, mmh...

...Dada wa Tindu Lissu
...Mzazi Mwenza wa Dr.Slaa
...Mtoto wa Ndesamburo
...Mkwe wa Ndesamburo
...Ukigombea Uongozi wa juu unaambiwa Kiti kina wenyewe??

..Kwa haya kaifanya kazi ya ukada wa Chama chake vizuri sana japo jukwaa alilosemea halikuwa sahihi...
CCM wanajadili muswada au wako kwenye kampeni ya uchaguzi?
 
huyu jamaa badala ya kuongelea katiba ye anawatukana cdm.lusinde inaoneka lisu anakukosesha usingizi sana,pole sana roho inakuuma ccm inavyokufa hahahahahahahahaha

Ikifa huyu tutagongana nae kwenye daladala kwani atabaki na ujinga wake usiokuwa na maendeleo
 
Hivi huyu bwabwaji elimu yake ipoje.!?

Bwana Chitemo huyu ni darasa la nne kwa mujibu wa vyanzo vyangu vya karibu sana,nipo Dom nafuatilia cheti chake cha darasa la nne ntakiweka hapa,subiri nakifuatilia
 
Ccm jamani utafikiri hakuna vijana wabunge almost 70% ni wazee ( above 50 yrs) wanawaburuza vijana na vijana waliopata nafasi ya kuchomoza kama huyu lusinde inawezekana alipata kwa ngekewa ndo maana inabidi awaabudu wazee wake( eti wana sharubu) jinga kweli na akili mgando!!
 
Lakini cha kushangaza kuna watz wenzetu wanaiponda CHADEMA eti wanahamasisha vurugu na wamefkia hatua ya kudai inatumiwa na nchi wahisani ili kuvuruga mchakato
 
Watu hawana shukran! serikali nzima ilishindwa kuanzisha tv yake mpaka mzee Mengi masikini akatuonea huruma akatuletea ITV leo mijibunge hela inaishambulia ITV bila haya! Laana za Mungu na ziwe juu yenu! na msitoke humo mjengoni salama! ngoja nami nikajiunge na ali shababu mtakoma safari hii.
 
anasema kwamba kuna wengine wameanzisha mitandao ya kuwatukana

Kumbe mtu akielezwa ukweli siku hizi katukanwa? Ama kweli ukishanga ya jk utastaajabu ya wabunge vilaza na wanafiki wa ccm
 
Huyu mbunge wa Mafia nae katoa pumba tu! Yaani kutokupata line kwake kila alipokuwa akipiga simu ITV basi ITV wamekuwa na upendeleo na kwamba wanapanga watu wa kuongea, nadhani huu ni uzushi usio kifani! Natamani ITV waombe uthibitisho kutoka kwake kama wamekuwa wana-upendeleo wowote ule kwa mtu au chama chochote kile, vinginevyo huyu ni wa kumshtaki kabisa mahakamani kwa kuharibu reputation nzuri ya kituo hicho! Anaisifia TBC1 kwamba imekuwa fair ktk mchakato huu kitu ambacho si kweli kabisa! Huwezi sema mchanganyiko wa CCM (A) na CCM (B)-CUF ati ni mchanganyiko wa upinzani na chama tawala. Huu nao ni upuuzi mtupu!
cha ajabu ni kwamba viongozi wengi wa serikalini huwa wanaitwa na Masako kutokana na hoja inayojadiliwa lakini wengi wao huwa wanatoa visingizio mbalimbali ili kukacha kipindi cha kipima joto.......sasa hapa wa kulaumiwa ni Masako kweli?
 
Tatizo la wabunge wasiojiamini. Sisi tunataka critical thinking and issues! sio ngonjera na kumsifia mwanaume mwenzio. Au ndiyo yale yale ya Cameroon?
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom