Najijua
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 1,039
- 180
"Wananchi tunaomba mtusikilize na sisi" - George Simbachawene, alipokuwa akichangia muswada wa katiba mpya. Natafakari ina maana wananchi hawawasikilizi?mbona wameshinda na wapo bungeni? Mbona anazungumza kiujumla na kama hao wa kijumla hawasikilizwi mbona wao wapo wengi bungeni? Wamejipeleka au wamepelekwa?
Nikitafakari kwa makini kauli hii napata shaka na ushindi wao, napata shaka kwanini wanataka kuonewa huruma na sio kuweka hoja na ukweli mbele?kimsingi wao wapo wengi bungeni, kimsingi wao ndio wanastahili kusikilizwa zaidi sasa ukiona wananchi hawataki kuwasiliza uje wamejiepeleka na hawakupelekwa na wananchi, walienda kwa ubabe, nguvu ya mtutu na advantage ya uelewa mdodo wa wananchi sasa wameamka chupi zinawabana
Hii inathibitisha ule usemi wa kiiengereza kuwa "YOU CAN FOOL PEOPLE FOR SOMETIME BUT YOU CANNOT FOOL THEM ALWAYS"
Nikitafakari kwa makini kauli hii napata shaka na ushindi wao, napata shaka kwanini wanataka kuonewa huruma na sio kuweka hoja na ukweli mbele?kimsingi wao wapo wengi bungeni, kimsingi wao ndio wanastahili kusikilizwa zaidi sasa ukiona wananchi hawataki kuwasiliza uje wamejiepeleka na hawakupelekwa na wananchi, walienda kwa ubabe, nguvu ya mtutu na advantage ya uelewa mdodo wa wananchi sasa wameamka chupi zinawabana
Hii inathibitisha ule usemi wa kiiengereza kuwa "YOU CAN FOOL PEOPLE FOR SOMETIME BUT YOU CANNOT FOOL THEM ALWAYS"