Huyu naye ni yupu na wawapi,hakya mungu ccm ovyooooooooooooooooooooooooooooooooo
Mambo ya CCM hayo Mkuu. Haki za binadamu. Yaani hili jamaa hata sielewi linaongea nini? LInasema ni vigumu kutekeleza mpango huu. Inaelekea huyu alitoroka vikao vya Chama chake vya kuwekana sawaHivi siku hizi wahalifu wanapelekwa bungeni? Tanzania kweli kichwa cha mwenda wazimu!
haahhaaaanimeipenda hiiii,case study walivoishugulikia Richmond na suala la pesa za radaaaaKirefu halisi cha TAKUKURU = Taasisi ya kupamba na kundekeza rushwa.