BUNGENI: Mjadala wa mpango wa maendeleo wa taifa

Huyu jamaa anatoa wapi mawazo ya kuandika vitabu. mbona hata hawezi kujieleza, nimemsikia anambwelambwela tu.
jaman nyambari haandiki vitabu,ndio maana huwezi kuvikuta kwenye LIBRARY ZA VYUO....yale ni mawazo ya watu ambayo huamua kuyaweka kwenye mfumo wa vitabu......kama umesoma UDSM wewe jifanye umemrefer nyambari........then ndo utajua kua ana status ya kuandika kitabu kwa scholary work
 
Huyo mama mh. Zarina shamte madabila hovyo kweli, eti anataka ufugaji wa samaki, tena anasisitiza kwa kusema eti "SAMAKI NI MNYAMA ANAEZAA WATOTO WENGI" Mmh kazi ipo! Anachangia kitu asichokijua huyu!
hahahahaaaaaaa.......samaki ni mnyama.....looooo salaleeeeeeeekasomea wapi shule ya msingiiiii??????
 
Huyu mama anataka Posho ziendelee! Ccm kwa pesa duh! Eti anapigiwa makofu!

anaaamua kwa makusudi kuwaunganisha watendaji na maafisa ugani kuwa kazi zao ni ngumu na kwamba wanahitaji posho ili kuweza kuzungukia meneo yao na kumudu shughuli zao...Hawa jamaa wanapewaga psho za elfu 15 na 20 sasa asifunike kinyesi cha ngombe kwa kitambaa cha hariri
 
Joseph Selasini aomba watajwe wabunge wanaodai RushwaMwenyekiti asema maelekezo ya muongozo yatatolewa baadaye...patamu hapo...Stay watching...Bunge la Zama za uwazi
Ghost aliyeomba mwongozo ni Mh. Mkosamali baada ya mh. kafulila kusema kuna wala rushwa ndani ya bunge. pili Mh. Silinde ni mbunge wa Mbozi magharibi kwa tiketi ya CHADEMA. Asante kwa taarifa kuwajuza wengine waliombali na tv
 
Kasulu tangu serikali ya awamu ya kwanza na Chuo cha kilimo Mbondo walichopewa kimegezwa kuwa shule ya sekondari, sasa anahoji kwa nini hilo lilifanyika wakatio dodoma shule ya sekondari ilibadilishwa kuwa Chuo kikuu kwa nini sio kigoma
 
Ghost aliyeomba mwongozo ni Mh. Mkosamali baada ya mh. kafulila kusema kuna wala rushwa ndani ya bunge. pili Mh. Silinde ni mbunge wa Mbozi magharibi kwa tiketi ya CHADEMA. Asante kwa taarifa kuwajuza wengine waliombali na tv

Mwenyekiti alisema atalitolea mwongozo baadaye, naona kauchuna tu ngoja tusubiri pengine wakati anahitiisha mjadala. Tupo nae hadi tujue hatma

anafuata Mh. Khangi lugola...Kisha Mzee Kibandiko kama sijasahau
 
Anasema sehemu hiyo inaeleza kuwa serikali imejipanga kudhibiti matumizi na uwajibikaji na pia imejipanga kuondoa posho na matumizi ya safari zisizo za lazima zinazotumika kwa sasa

anasema kuna wabunge wanapotosha kwa kuchukua hoja ya serikali kwa kujitafutia unafuu

ananukuu magazeti kuthibitisha ujinga wake

kapigwa Stop na Mweyekiti
 
Kangi Lugora asema kufuta posho ni wazo la serikali. Simbachawene kamchanachana, kamwambia asubiri siku nyingine. Anaomba kulindwa baada ya kuzomewa na kuambiwa akae chini
 
Huyu naye ni yupu na wawapi,hakya mungu ccm ovyooooooooooooooooooooooooooooooooo
 
kaambiwa hapa na mpango wa maendeleo na si kunukuu magazeti...Haki ya Mungu majamaa yameanza kujitafutia hoja ya kuipora idea ya kukataa posho

kaibuka na mpya ati ni idea ya serikali oposition imepora hoja hiyo

anarejea katika hoja baada ya kupigwa stop na kupata boooo za kutosha
 
Back
Top Bottom