We Know Next
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 814
- 380
Mheshimiwa Zitto kasema, ikifika saa kumi na mbili leo jioni, kama hawajafungua vituo, basi jeshi liende likasimamie na lifanye kazi hiyo, wakati hao waliofunga vituo wanachukuliwa hatua za kunyang'anywa leseni zao. Kama na jeshi watashindwa, basi dalili za kutokea yaliyotokea London siku tatu hizi zilizopita ni wazi kwa Tanzania, hasahasa ktk miji yetu mikubwa. Hayo yote yanakuja kutokana na udhaifu wa baadhi ya watendaji Serikalini.