Bungeni: Mjadala wa dharura juu ya mgomo wa wauza mafuta

mnyika anasema na bp imekataa kuuza mafuta wakati serikali inamiliki 50 percent
 
Mlioko mjengoni tuambieni Mnyika kasema nini, waziri kivuli huyu.
 
Mnyika: BP na Tipper zilirelease stock ya mafuta.......anakumbushia kupunguza kodi ya mafuta , maanana hata hii solution itakuwa ni ya dharaula tu...Mtangi sasa
 
Mtangi: yeye ana kituo cha mafuta..........kasema mfumo wa distribution, inawezekana wenye vituo hwana mafuta so tusiwalaumu sana wenye vituo
 
Yupo ikulu anakula tu kila siku kwa kisingizio cha kuwafutarisha watoto na viongozi wa dini, nani kasema wale watoto wanataka futari na sio elimu nzuri na malazi bora for thier future? au atasemaje wakati wauza mafuta wote ni marafiki zake??
Mnyika: tumefika sbb ya serikali lege lege......anapendekeza kuwa rais anapaswa kuingilia kati kwa nafasi yake kama rais wa nchi
 
Mtangi anasema unaweza ukaona kituo kina nembo ya BP au GAPCo kumbe ni cha mfanya biashara tu, yeye anatumia nembo........anasisitiza watu kuwahoji BP
 
Mtangi anasema wa kulaumiwa zaidi ni wale waingizaji.......mhagama sasa
 
Mntangi ana vituo vya mafuta, Shabiby, na wengine kibao, so wanaliewelea game, halafu waache ujinga na kutufanya wote tunatumia makalio kufikiria, yaani mafuta yanaisha wanapoambiwa wapunguze bei? halafu kwanini station zote ziishiwe na hayo mafuta kama ni kweli? ni lini ilishawahi kutokea hivyo, waouuuzi wakubwa hawa, naapa kesho mtaniona na bango langu mtaaani. halafu kiaskari kijikunigusa kione.
 
Mhagama: serikali inapaswa kuelewa matatizo ya wananchi na inapaswa kusimsms imara...........huu ni mfumo wa biashara wa kisheria, anahoji inakuwaje serikali inashindwa kusimamia maamuzi ya bunge?........serikali isiposimamia vizuri hili itadharauliwa?
 
****** siku zote ameshindwa kushughurikia hili tatizo? ni ushenzi mkubwa sana unaofanywa na serikali
 
Wakuu kama mtakumbuka Mbunge wa Nyamagana alitolewa nje bungeni kwa sababu alikuwa na taarifa ya dharura kuhusu samaki wenye sumu, lakini majibu ya spika ni kwamba taarifa ya dharura ni nchi kuwa vitani, sasa nina taarifa kwamba bungeni sasa hivi wanajadili hoja ya dharura je nchi yetu iko vitani? naomba mwenye taarifa za vita atujulishe ili tujiandae.
 
Dah! Ndugai anasitisha bunge hadi saa 10 jioni ambapo wataendelea kujadili hili na hayo mengine
 
wana sababu ya kuwa kitu kimoja si kwasababu daladala zao namabsai yao hayana pa kujazia mafuta?? ingekuwa umeme ambapo wao wanajenereta ulidhani wangeongea? si unaona ishu ya maji ilivyokuwa ngumu, lakini hebu angalia ni watu wangapi wamefanya ufuatiliaji wa hilo?? shenzi zao
Kwa mara ya kwanza naona bunge limesimama likiwa moja kumtetea common mwananchi bila kujali khaki, kijani au rangi nyingine!
 
Makamba kawabana pabaya, Zitto kasema ukweli na Mnyika kasema ukweli. Mwijage karudia tena kuwa Regulations za sheria ya mafuta ni mbovu
mno na hazifai. Kwa hali hii tashangaa sana kama baada ya bunge hili tutakua na the same cabinet!!
Haya ndio madhara ya kutofanya maamuzi
 
Vile vituo vilivyokubali kuuza muda huu unavigeuza kuwa vya 'dharura' wakati unasuka upya mambo.

Pamoja na hayo, kauli ya Rais au Waziri mkuu iko wapi? kwa nini hawajaongea mpaka sasa. Bunge limeguuka kuwa Ikulu? This is a tragedy of its own, and where is the cabinet in all these? Bunge ni kitu cha mbali sana maana wabunge are 'legislatures' - watunga sheria. Serikali ni watendaji, sasa, wako wapi hawa watendaji?
Kwani serikali imerudi toka likizo? Hukumuona mh rais jana anakula futari na viongozi wa dini huku anachekacheka tu. Nchi ndio imefikia hapo hakuna serikali, ingawa yenyewe inajifanya legelge.
 
Back
Top Bottom